Uchaguzi CDM haupo mwendo ni Zimbabwe staili au kagame stail au mseveni stail au hata Angola stail Mbowe atakuwa M/kiti hadi anakuwa kikongwe kumbuka CDM ni Chaga manfesto development Makabila mengine hawana nafasi ya Mwenyekiti wakijaribu wataishia kwenye cc tu inakuwa mwisho
Nini Maana ya neno msariti? Mbona Mbowe anapokea pesa nyingi toka kwa wana ccm yeye Mbona haitwi Msariti?mbowe anazitafuna pesa za chama kwa kukibambikia chama madeni feki kisha anajilipa kwa kisingizio eti anakidai chama pesa zake baadae huzitumoa pesa hizo hizo kuwakopesha wana cc ili kuwathibiti wasimguse pindi akienda kinyume na taratibu za chama Ndio Maana pamoja na kashfa zote Mbowe bado analindwa na wana cc ambao ni wafaidika wakubwa wa pesa Binafsi mbowe
Usultani bado upo tanzania!!!
endelea kuwaabudu mabwana zako wote hao wawili zito na mbowe
chadema wilayani na mikoani wana hasira sana.hela ya ruzuku inaishia makao makuu tu mikoani wameambiwawajitolee chama hakina pesa kweli wajinga ndio waliwao
Daaa bora mbatia kaonesha demokrasia kwa vitendo.
Sasa kafulila aliyemuona Mbatia hafai wakati ule mbona hajagombea? hawa watu wa Kigoma ni unafikina uharibifu tu, maana huu ndio ungekua wakati hasa wa Mh Kafulila kuonyesha kile alichokua anakitaka wakati ule chadema na baadae huko NCCR, sio kusubiri wakati mambo yanaenda shwari ndio kuleta hadithi za ajabu,
Inaamana ZZK inabidi asubirie miaka mitano huko, itabidi yeye na kafulila waanzishe mabadiliko 2014 wamtoe Mbatia ama waanzishe Chama chao.
Mkuu tafadhali andika Kiswahili ama English nitaweza kukusoma vema...Nasikia kivuli cha Mwenye kina madhara kwani waweza kupata Funza wengi miguuni na hata kwenye makalio! Kigoma kuna miembe? tahadhari chukua hatua...
Hakuna cha buku 7 wala 8 wala Lumumba kumtuma mtu watu wenyewe siku hizi wameamka watoa mawazo Yao na mitazamo yako kulingana na wanavyoona inafaa
chadema wilayani na mikoani wana hasira sana.hela ya ruzuku inaishia makao makuu tu mikoani wameambiwawajitolee chama hakina pesa kweli wajinga ndio waliwao
Wakilimbitwaji huwa mnatabia ya kung'ang'ania line moja na kuirudia rudia bila kuchoka... hongera...ILA uzuri ni kuwa CDM ya sasa bila masalia ya wasaliti ni salama kwa maendeleo ya Watanzania...Haijalishi neno nililokusudia kukuletea litakuja kwa mandishi gani ninachokijua sasa funza amekung'ata sehemu nyeti Ndio Maana unachachawa nashukulu ujumbe umeupata vyema wewe ni Nyumbu na Mbowe ni Simba Nina Imani unamwogopa sana mbowe
Povu jingi point sifuri. Jibu swali, nani kakulipia nauli?
misukule ya lumumba wapo kazini
Usariti upi ? Mbowe anapewa pesa na wana ccm na pesa kazitafuna mwenyewe iweje yeye si msariti ama kweli Nyumbu wapo wengi sana Simba ( Mbowe) atawatawala milele hakuna nyumbu kumsogelea SimbaWakilimbitwaji huwa mnatabia ya kung'ang'ania line moja na kuirudia rudia bila kuchoka... hongera...ILA uzuri ni kuwa CDM ya sasa bila masalia ya wasaliti ni salama kwa maendeleo ya Watanzania...
Usultani bado upo tanzania!!!