Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Bandarini sasa watu wanacheza karata tuHa ha ha wanaliana "timing" kama kumchinja kobe vile!
Bandarini sasa watu wanacheza karata tuHa ha ha wanaliana "timing" kama kumchinja kobe vile!
Kazi kweli kweliMBATIA yupo kwenye lile elite group la KASKAZIN kuwa lazima viongoz wa vyama karibu wote watoke huko , wao ndo wanajua uongoz amna WENGINE
Bandarini tufungue viwanda vya mitumbwi"Mama yetu Tanzania" ha ha ha ha!
Inawezekana wewe ni mamsapu wake!Nilikuja na Uzi hapa siku moja nikianika mambo yake yote aukumaliza 3minutes wakautoa bila mi mbatia namjua ipasavyo !!
Inaonekana ndugu zako wametimuliwa bandarini mbona umengangania hapo??Bandarini sasa hivi inabidi watu wajenge swimming pool wachezaji wa Olympic wafanyie mazoezi
Kwahiyo wewe huna akili siyo?Kwani NCCR ni chama cha kukiongelea!!??? Bila Chadema unafikiri angepata huo ubunge!!?? Hicho chama hakina tofauti na cha DOVUTWA UPDP!!?? hata PPT - MAENDELEO wana unafuu..... Kuongelea NCCR unahitaji kuwa na upungufu Wa akili kidogo...
Bandarini tujenge viwanda vya kutengeneza ngarawa maana hakuna kaziInaonekana ndugu zako wametimuliwa bandarini mbona umengangania hapo??
aliyenikosoa nilipokosoa uandishi NDIYE..... sikujadili upuuzi waoKwahiyo wewe huna akili siyo?
......TUNADUBIRIA......?Chama cha NCCR kilisha kufa kitambo, na tunadubiria maziko yake tu
Sijapata muda waku edit ile comment.......TUNADUBIRIA......?
Mkuu umesema ukwell ila watakuja kukutukana!!Wapo wanaomsifu kuwa ni kichwa, hamna lolote pale. Chama kimekufa kibudu mikononi mwake, badala ya kuimarisha chama amehamia chadema ya comrade wa anga. Hana lolote.
Umemwelewa!!!Sijapata muda waku edit ile comment.
Cha muhimu toa D, weka S
Mbona mnimesahau mimi mzee niliezulumiwa jimbo na huyo mbatia,pia natoka huko huko!Kwanza jiulize
Mbatia anatokea wapi
Mbowe anatokea wapi
Lowasa anatokea wapi
Nk nk nk
Kwahio mnaumiza akili yenu bure
Kuna kaukanda fulani ndani ya hawa watu
Nimemuelewa, kwasababu alinielewaUmemwelewa!!!
Mbowe aligombea jimbo namtu kutoka wapi!Mbona mnimesahau mimi mzee niliezulumiwa jimbo na huyo mbatia,pia natoka huko huko!
SI KWELI ACHA UMBEA UNA UHAKIKAMbatia ni mtumishi hewa wa Kijitonyama. Aliingizwa kama kibaraka na Bosi mstaafu wa Kijitonyama anayetoka Mbeya mwenye jina linalotaka kushabihiana na la Dk. Nyamaza wa mjengoni. Wakati huo alikuwa akilipwa Sh. 1,600,000/- kwa mwezi kwa kuleta taarifa za ndani za upinzani. Huo ni 2010 na mzigo alikuwa akienda kuchukua nyumbani kwa mstaafu wa mashushushu huyo Mbezi. Hivyo Mbatia Yuko Ukawa/NCCR kimaslahi zaidi na "kijana mpendwa" wa Serikali iliyoko madarakani. Zipo taarifa (sijazithibitisha) kuwa ameongezewa mzigo kukimaliza Ukawa nguvu. Hoja ya kutoonesha Bunge live alitoa yeye kuwa ndio iliwapa umaarufu upinzani na kwamba alimwambia Msoga lakini JK alikataa ushauri huo. Mbatia ni mamluki.
Pole mzee wa Kiraracha, the north pole movement!Mbona mnimesahau mimi mzee niliezulumiwa jimbo na huyo mbatia,pia natoka huko huko!
Mbatiya ni kabila gani. Yeye anapigania kanda na dini ya kwao hapiganii haki ya Mtanzania wa kawaida. Siku ya ukawa kuzinduliwa Jangwani alihitimisha kwa kuimba tenzi za rohoni badala ya kibwagizo cha NCCR au ukawa. Wakiwa na Lowassa Tabora wakasema wanataka rais mluteri. Haoni NCCR kama ni mno. Hawajui kina kafulila - hao si watu wake yeye anaangalia big picture ya kanda yake. Bomu huyu.Nilishangaa sana kwenye uchaguzi uliopita yaani mbatia anakuja kwa media kuisemea chadema??
Daaaah,,,,,