spiritual-thinker
Senior Member
- Mar 29, 2012
- 137
- 73
Huwezi kuipeleka taasisi mbali zaidi ya uwezo wako wa kuongoza. Uwezo wa Mbatia umeishia hapo. NCCR iko kwenye comma, wasipomtoa na kumtafuta mtu mahiri, itakata roho ifikapo 2020.
Likewise Chadema, najua ukimkosoa Mbowe humu JF unatukanwa, lakini ukweli ni kwamba amefanya makosa makubwa sana. Uwezo wa Mbowe umefikia ukomo ila wanachama hawaoni na yeye mwenyewe hajui. Chama kinaporomoka, mabadiliko yasipofanyika sasa hakitakuwa tofauti na NCCR, TLP na CUF ambavyo vimewahi kuwa vyama vikuu vya upinzani na sasa vimekufa(TLP), viko kwenye comma(NCCR) na kingine kina Kwashiorkor(CUF).
Likewise Chadema, najua ukimkosoa Mbowe humu JF unatukanwa, lakini ukweli ni kwamba amefanya makosa makubwa sana. Uwezo wa Mbowe umefikia ukomo ila wanachama hawaoni na yeye mwenyewe hajui. Chama kinaporomoka, mabadiliko yasipofanyika sasa hakitakuwa tofauti na NCCR, TLP na CUF ambavyo vimewahi kuwa vyama vikuu vya upinzani na sasa vimekufa(TLP), viko kwenye comma(NCCR) na kingine kina Kwashiorkor(CUF).