Mbatia anacheza rafu Vunjo

Mbatia anacheza rafu Vunjo

Majasho

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2009
Posts
413
Reaction score
220
Jana nilileta uzi kwamba kuna kura zilikutwa kwa mlinzi wa kanisa la KKKT Himo akiwa na karatasi za kura ambazo zilikuwa zimeshapigwa kwa James Mbatia.

Jambo hilo limechukua sura mpya leo baada ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la Vunjo kumwandikia barua mgombea ubunge James Mbatia, kwa Nini anasambaza nyaraka hizo za tume ya uchaguzi bila idhini ya tume na ameenda kinyume na maadili.

Amepewa masaa 24 ya kujieleza. ImageUploadedByJamiiForums1445249292.589649.jpg ImageUploadedByJamiiForums1445249311.517004.jpg
 
Wanafikik Nyie Mnacheza Na Mungu Wa Majeshi. Kikombe Cha Hasira Ya Bwana Kimejaa,cjui Mtatokea Mlango Gani
 
Jana nilileta Uzi kwamba kuna kura zilikutwa kwa mlinzi wa kanisa la kkkt Himo akiwa Na karatasi Za kura ambazo zilikuwa zimeshapigwa kwa James mbatia.

Jambo hilo limechukua sura Mpya Leo baada Ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la vunjo kumwandikia barua mgombea ubunge James mbatia, kwa Nini anasambaza nyaraka hizo Za tume Ya UCHAGUZI bila idhini Ya tume Na ameenda kinyume Na maadili.

Amepewa masaa 24 Ya kujieleza.View attachment 300485View attachment 300486

attachment.php
 
Mbatia hana huo muda jimbo ni lake iloo
 
ule mpango wa kumpa rushwa yule mbunge amekwama..ndio kaja na mbinu hii
 
Jana nilileta Uzi kwamba kuna kura zilikutwa kwa mlinzi wa kanisa la kkkt Himo akiwa Na karatasi Za kura ambazo zilikuwa zimeshapigwa kwa James mbatia.

Jambo hilo limechukua sura Mpya Leo baada Ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la vunjo kumwandikia barua mgombea ubunge James mbatia, kwa Nini anasambaza nyaraka hizo Za tume Ya UCHAGUZI bila idhini Ya tume Na ameenda kinyume Na maadili.

Amepewa masaa 24 Ya kujieleza.View attachment 300485View attachment 300486

Mmeanza....maji shingoni.
 
Jana nilileta Uzi kwamba kuna kura zilikutwa kwa mlinzi wa kanisa la kkkt Himo akiwa Na karatasi Za kura ambazo zilikuwa zimeshapigwa kwa James mbatia.

Jambo hilo limechukua sura Mpya Leo baada Ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la vunjo kumwandikia barua mgombea ubunge James mbatia, kwa Nini anasambaza nyaraka hizo Za tume Ya UCHAGUZI bila idhini Ya tume Na ameenda kinyume Na maadili.

Amepewa masaa 24 Ya kujieleza.View attachment 300485View attachment 300486

Mbona huku Dar yako kibao hayo ya kutiki kwa namna ya mfano! karibia kila chama wamefanya hivyo???
 
Kuna uhakika gani kuwa vimendaliwa na Mbatia ? Hata hivyo, mtu ukitumia nakala ya NEC kuonyesha jinsi ya kuchagua kwa kuweka tick kuna shida yoyote ?
 
lililotokea ni kuwa mbatia amesambaza mifano ya karatas za kupigia kura na sio kwamba ni kura feki kwa sasa kila kona ya jimbo la vunjo kila mtu anajua jins ya kupiga kura bila kuharibu kura yake bwana mrema hii ikamuuma sana ndo mana anajaribu kumpiga vita mbatia ila hakuna ukwel kuwa mbatia amekutwa na kura zilizopigwa ile ni mifano ya kura mtoa post naona umekaa kishabiki zaid acha kuchochea usivyojua
 
Huyo msimamizi wa uchaguzi amejibu haraka kwasababu ni Mbatia.

Ingekuwa Mbatia amelalamika asingejibiwa kamwe.
 
ujinga huo! mbona hizo karatasi zimeenea karibu nchi nzima? hizo nijuavyo zinatuelekeza namna ya kupiga kura. nilizozishuhudia kwa macho yangu ni za act, chadema, na ccm karibu maeneo mengi ya mkoa wa tabora.
 
Mpango Wenu Huo Ccm Mtajuta Mwaka Huu Kwa Madhambi Yenu Tulikuwa Tunawachora Tu Miaka 10.
 
Mbatia amewashika pabaya washabiki wa Mr Push-up, na kibaraka wake Lyatonga! Kicks of a dying old horse named CCM!
 
Mbatia yuko makini kuliko unavyodhani, ni mtu anayejielewa. Hwezi kukurupuka na kufanya hayo unayosema.
 
Mbatia amewashika pabaya washabiki wa Mr Push-up, na kibaraka wake Lyatonga! Kicks of a dying old horse named CCM!

Ni kweli CCM imeshikwa pabaya sana. Ila ni kwenye facebook na jamiiforum. In reality haijashikwa pabaya, subiri matokeo halafu unitafute nikuambie nini kimefanyika. Hahahahahahahaha
 
Jamani hizi karatasi za mifano si ndio hata wapambe wa mgombea wa chadema na ccm wanatumia kwenye kampeni kuelekeza wapiga kura. Kosa liko kwa mbatia tu??
 
Back
Top Bottom