Mbatia anacheza rafu Vunjo

Mbatia anacheza rafu Vunjo

Ni kweli CCM imeshikwa pabaya sana. Ila ni kwenye facebook na jamiiforum. In reality haijashikwa pabaya, subiri matokeo halafu unitafute nikuambie nini kimefanyika. Hahahahahahahaha
mbatia huyu bwabwa
 
Mimi nimeletewa na kada wa ccm ikiwa imetikiwa jina la magufuli na david mosha
 
Ccm tuacheni mipango ya aibu!. Hii ni fedheha kwa chama kikubwa kama Ccm.

Hila zote za nini lakini?

Nali aliwaambia kwamba Mungu ametupa Tanzania sisi na watoto wetu kuitawala na kuitumikisha namna tupendavyo?


Laana ya dhambi hii mbaya na uzushi na masingizio, iwe juu yake peke yake aliyeyafanya haya kwa hila.
 
huyu msimamizi kakosa kazi ya kufanya,anaweza kusibitisha bila kuacha shaka kuwa mbatia ndiye aliyesambaza na kuvunja taratibu/na nikama ni wananchi wameamua kwa mapenzi yao wenyewe/
 
lililotokea ni kuwa mbatia amesambaza mifano ya karatas za kupigia kura na sio kwamba ni kura feki kwa sasa kila kona ya jimbo la vunjo kila mtu anajua jins ya kupiga kura bila kuharibu kura yake bwana mrema hii ikamuuma sana ndo mana anajaribu kumpiga vita mbatia ila hakuna ukwel kuwa mbatia amekutwa na kura zilizopigwa ile ni mifano ya kura mtoa post naona umekaa kishabiki zaid acha kuchochea usivyojua

Hata kama sielewi, maelezo yako yanaonyesha kuna ukweli kabisa
 
Jamani hizi karatasi za mifano si ndio hata wapambe wa mgombea wa chadema na ccm wanatumia kwenye kampeni kuelekeza wapiga kura. Kosa liko kwa mbatia tu??

Wewe jipongeze tu, safari hii MAJIZI ya ESCROW, MEREMETA, KAGODA, EPA n.k na yenye kujimilikisha migodi, mbuga za wanyama n.k IKULU BASI TENA.
CCM MUST GO, AND FOR GOODS
 
huyo msimamizi wa uchaguzi ana elimu kiasi gani? amekurupuka. hapo hakuna issue,alitakiwa amjibu mrema kuwa nae anaruhusiwa kutoa elimu ya mpiga kura.
 
hizi karatasi za mifano ziko nyingi na wagombea wa vyama mbalimbali hupewa ili wakawaeleze wafuasi wao namna ya kuwapigia kura. huyo mkurugenzi anatumika hajitambui..
 
Katika watu vilaza nchi hii, ni wote walioko kwenye kampeni na kitengo cha propaganda cha ccm. Wamelipwa hela bure na hakuna wachikivuna.
 
Wanajifanya wana uhakika wa jimbo kumbe hofu tupu,mbatia anajifanya mjanja sana na amshukuru Mungu Kwa kikwete kumteua ubunge,ameonja tamu ya bunge sasa anataka kuchonga mzinga,ukawa wote ni wezi Kisha wambelembele kujidai wanaibiwa kura.
 
Nimeahirisha na kusoma baada ya kuona eti nec iko karibu hivi na mgombea lyatonga mpaka inamcc barua zake kama vile yeye ndio mwenyekiti wa nec....Huu ni uzembe.
 
Serikali ya CCM imeharibu akili za watu wengi na mfano wa watu hao ni hili jamaa lililoshika hiyo sample paper ya namna ya upigaji kura...

Hivi kwa akili zake hajui kuwa wino unaotumika kuweka vema ni ule wa kalamu na sio wa printer!!!

Jana nilileta uzi kwamba kuna kura zilikutwa kwa mlinzi wa kanisa la KKKT Himo akiwa na karatasi za kura ambazo zilikuwa zimeshapigwa kwa James Mbatia.

Jambo hilo limechukua sura mpya leo baada ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la Vunjo kumwandikia barua mgombea ubunge James Mbatia, kwa Nini anasambaza nyaraka hizo za tume ya uchaguzi bila idhini ya tume na ameenda kinyume na maadili.

View attachment 300486
 
Back
Top Bottom