Mbatia aibwaga NCCR Mageuzi mahakamani

Mbatia aibwaga NCCR Mageuzi mahakamani

Ila akili mali.

Sasa mlitumia hoja ya uanachama ni wa 92 kumuengua.

Mahakama inakuambia hoja uliyotumia kumuengua haina mashiko kwakua hata katiba yenu ni ya 92.

Tuassume, ni kweli akili yako inakuambia mahakama imesema kinachobatilisha kumuengua ni kutomsikiliza. Hii haimaanishi kwamba sasa rudini mkamsikilize.
Inamaanisha kila mlichoamua kutokana na kutomsikiliza ni batili na hakifanyi kazi.

Haimaanishi sasa rudini mkamsikilize.

Ni kama askari akamate mtu bila kumwambia haki zake za msingi. Huyu mtu akifika mahakamani ikathibitika hakuambiwa haki zake za msingi tendo zima la kumkamata linakua kinyume na sheria hivyo ataachiliwa huru. Haitasemwa kwamba sasa rudini pale pa siku ile ili ukamwambie haki zake.

Ila Tz 😞
 
Umekuja mbio sana, ila ungeanza kusoma nilipo mquote hugo mtu.
Alisema ni aibu,
nikamuuliza aibu kushinda kesi?,
Akajibu msajili anahusika.

Mitazamo yetu ilikuwa tofauti, mimi naongelea alieshinda kesi kumbe yeye anamuongelea alieshindwa kesi.
Wewe ndiye urudie kusoma post # 9 halafu na ulicho quote ni mbingu na ardhi.
 
Ila akili mali.

Sasa mlitumia hoja ya uanachama ni wa 92 kumuengua.

Mahakama inakuambia hoja uliyotumia kumuengua haina mashiko kwakua hata katiba yenu ni ya 92.

Tuassume, ni kweli akili yako inakuambia mahakama imesema kinachobatilisha kumuengua ni kutomsikiliza. Hii haimaanishi kwamba sasa rudini mkamsikilize.
Inamaanisha kila mlichoamua kutokana na kutomsikiliza ni batili na hakifanyi kazi.

Haimaanishi sasa rudini mkamsikilize.

Ni kama askari akamate mtu bila kumwambia haki zake za msingi. Huyu mtu akifika mahakamani ikathibitika hakuambiwa haki zake za msingi tendo zima la kumkamata linakua kinyume na sheria hivyo ataachiliwa huru. Haitasemwa kwamba sasa rudini pale pa siku ile ili ukamwambie haki zake.

Ila Tz 😞
Sijui nn haelewi...maelezo ya kesi kama ndo yakivyo hapo yapo wazi sana....kila walichofanya kwa Mbatia ni batili....hvyo wampe uenyekiti wake na msajili amtambue....ila msajili mtu wa hovyo sana
 
Back
Top Bottom