Mbatia aibwaga NCCR Mageuzi mahakamani

Mbatia aibwaga NCCR Mageuzi mahakamani

Masajili anahusikaje na mahakama?
Unakumbuka James aliilalamika kwa Msajili wa vyama kuwa amebariki mkutano uliomvua uanachama? Msajili alikuwa upande wa NCCR ndio kisa cha Mbatia kwenda mahakamani.

Sasa unaposema msajili ndie kachochea nakushangaa.
Utashangaa sana mwaka huu, sasa kama msajili alikuwa upande wa NCCR na iliyoshindwa ni NCCR bado hujaelewa tu.
 
Masajili anahusikaje na mahakama?
Unakumbuka James aliilalamika kwa Msajili wa vyama kuwa amebariki mkutano uliomvua uanachama? Msajili alikuwa upande wa NCCR ndio kisa cha Mbatia kwenda mahakamani.

Sasa unaposema msajili ndie kachochea nakushangaa.
Mbona hueleweki wala husomeki??!

CHIEF PRIEST umemwelewa huyu kweli?
 
Tatizo sio tu kwa Justice to be Done and Seen to be Done..., bali Time frame ya hio so called Justice...

Sababu kwa kutoa hio Justice leo wakati kunakucha nadhani sio kutendea Haki Muhusika yoyote hapo (wanachama, aliyefukuzwa na kurudishwa au hata Chama Husika)
 
Unachoongea ni uzushi, either unajua au hujui.
Unalinganisha issue ya Cdm na ya NCCR ni vitu viwili tofauti. Ishu ya mbatia msajiki alikuwa uoande wa chama.
Sasa hukumumu ya leo nani ameshindwa? Na wapi nimeitaja CDM hapo?
 
HAwa NCCR-Mageuzi ndio walikuwa "Chauma wa 2020."
Mwenyekiti akiwa Mbatia.

Uchaguzi ulivyokwisha ,
Project ikafa wakaanza mgogoro.
 
Masajili anahusikaje na mahakama?
Unakumbuka James aliilalamika kwa Msajili wa vyama kuwa amebariki mkutano uliomvua uanachama? Msajili alikuwa upande wa NCCR ndio kisa cha Mbatia kwenda mahakamani.

Sasa unaposema msajili ndie kachochea nakushangaa.
Una uhakika na ulichoandika?

Msajili ndiye aliyetambua uamuzi wa Mkutano Mkuu feki wa NCCR-Mageuzi na kumtambua Mhaini na Msaliti Joseph Selasini kuwa Mwenyekiti halali wa Chama.
 
Back
Top Bottom