Mbappe sasa ndiye mfungaji bora wa muda wote Ufaransa

Mbappe sasa ndiye mfungaji bora wa muda wote Ufaransa

Mjomba Malume

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2025
Posts
903
Reaction score
1,317
Dah huyu jamaa anaandika historia mapema sana.

Baada ya mechi ya jana dhidi ya Senegal, Kylian Mbappe amekuwa rasmi mfungaji bora wa muda wote wa timu ya taifa ya France baada ya kufikisha mabao 58 na kumpita Olivier Giroud aliyekuwa na mabao 57.

Mbappe alipiga mabao mawili kwenye ushindi wa 3-1 dhidi ya Senegal na kuweka jina lake juu kabisa kwenye historia ya France akiwa na miaka 27 tu 🔥

Cha kuogopesha zaidi:
-Ana miaka 27 tu
-Tayari ana World Cup
-Tayari ana mabao 16 World Cup

Na bado ana miaka mingi ya kucheza mbele yake.

Kwa speed hii kuna records nyingi sana zinaweza kuanguka mikononi mwa huyu jamaa. Watu walikuwa wanadhani record ya Giroud itadumu sana, lakini Mbappe kaifanya ionekane kawaida kabisa 🔥

Huyu sio normal player tena, huyu ni G.O.A.T kabisa pale Ufaransa na duniani kwa ujumla 🔥
 
General Mbappe
1000151325.jpg
 
Oliver giroud alikuwa anapendwa sana na makocha

Mimi mwenyewe nilikuwaga simuelewi kabisa
Sema jamaa kwa kufunga tu alikuwa anatisha sana

Utamuona uwanjan anazurula tu ila tu ukisikia goal jua tiari giroud kashaweka kamban
Zee la scorpion kick.
 
Back
Top Bottom