Mbappe kanitekea demu wangu

Yaani we hopeless kabisa unataka kujifananisha na mbape? (Jokes)
 
Huyu kuna nae makini bby maana anapenda tope balaaa ebu kaa nae mbali kabisa.
Wee endelea kunivutia mie picha wakati unapata utamu wa de libolo
🤣🤣🤣 akinitunuku tope hatojuta huo utamu atakaoupata. Oya kama vipi tumpige mande😅
 
Women value strength in men they desire. They already have a pussy they don’t want to deal with another one.
 
Mkuu unajichelewesha, pale Simba Queens kuna watoto wazuri wanacheza mpira tafuta picha ya Fetty Densa au hata ya Usher Koumugisha chambuzi la kimataifa au hata ya Khadija Shaw yule fungaji la timu ya wanawake ya Man city

Post weka Caption tata ili mzungumze lugha moja, usilalamike ukilalamika hakuelewei ila mkienda sambamba ataelewa inavyouma
 
😀😀
 
🤣🤣🤣🤣 Ogopa sana ukiona mwanamke anabeti
 
Watu wanafurahi hapa umekuja umekunja ndita asubuhi yote hii. Nyege mbaya...Uwe na siku njema mkuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ningekua skujui ungenipa tabu, sura huna shape huna unamtisha nan
 
Kwa hapa nilipofikia kinachovutia ni ela tu na sio kingine
Huyo mbappe nawaachia walimwengu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…