Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,807
- 17,358
Wewe wapo wenye good morphology bana sio iyo. Wao waseme wanataka Nini. Mana huyu akija dar ama bongo atakuwa Kama Ile Chris brown mademu walikuwa wanatoa $1000 ili wakutane naye tu. Sasa huyu naye akija bongo mademu na mchepuko yetu itaumwa ama itapata matatizo hapo wapate hata hela ya kumuona mbape ujueHuyo Mbape ameteka wanawake wengi hata sio wako tu. Nadhani ni ile good morphology aliyonayo inapagawisha wadada