Mbappe kanitekea demu wangu

Mbappe kanitekea demu wangu

Huyo Mbape ameteka wanawake wengi hata sio wako tu. Nadhani ni ile good morphology aliyonayo inapagawisha wadada
Wewe wapo wenye good morphology bana sio iyo. Wao waseme wanataka Nini. Mana huyu akija dar ama bongo atakuwa Kama Ile Chris brown mademu walikuwa wanatoa $1000 ili wakutane naye tu. Sasa huyu naye akija bongo mademu na mchepuko yetu itaumwa ama itapata matatizo hapo wapate hata hela ya kumuona mbape ujue
 
Habari wakuu

Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.

Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Cha kufanya na wewe chukua picha ya Beyonce au mwanamke yeyote maarufu mpost na msifie kama anayofanya yeye
 
Demi Mume wenu huyu hapa
Screenshot_20221220_164948.jpg
 
Mnakumbuka enzi za CR7? Aliondoka na kijiji.. Je Ricardo Kaka?! so haya mambo yanamuda wake.

Akimsifia Mbappe usikasirike Mkuu screenshot hizo post HIFADHI.

Ikija zamu yako ww usipost wa Mbali huko, post wa karibu anaowaona Kila siku na uwasifie.

Akianzisha Vagi, unachomoa Screenshot moja.
 
Back
Top Bottom