Wabahili wachoyoo 😂😂Nyie ni wa kuombeawanamke kukuomba kukuomba tu laki tatu ushatoa talaka
Aah wapi mimi kwenu nishatoka, nisha upgrade staki stress tena.Ni laifu tuu,uzuri ndo sisi tuliopo🤣
Mweeee mweee makubwaa 😋Aah wapi mimi kwenu nishatoka, nisha upgrade staki stress tena.
Mmhhh umeshatujaribu lkn??Wabahili wachoyoo 😂😂
Habari za SikuAnavutia sana mwanaume huyu
Anne niwewe amaHebu angalia jamani
Hata wangekuwa wao ni sisi wangefanyaje hapa?View attachment 2452499
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app



Wachaga wenzangu jamani mim ni mwenzenu.Usifanye Moyo kua mgumu🤣
Mim sina cha kukupa ndo mana ukawa kaka😊😊UNataka kuninyima Nini jamani mbona umesisitiza mno huu ukaka lakini hivi
Huyo Mbappe anajua kwamba huyo demu wako yupo duniani?Habari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Hao wachaga ndo Kila siku wanasaidiwa wake zao na Wakenya .Wachaga wenzangu jamani mim ni mwenzenu.
Lkn kuna mtu analazimisha niwe Mnyantuzu msahada tafadhali 😂😂
Unachoooo ,weee Jua tu unacho 😋Mim sina cha kukupa ndo mana ukawa kaka😊😊
Jamani mim sina kitu cha kukupa sina lbd kama unataka niwe nakuombeaUnachoooo ,weee Jua tu unacho 😋
Uache kua uchoyo tu
Sitaki tena usukuma mieHao wachaga ndo Kila siku wanasaidiwa wake zao na Wakenya .
Njooo usukumani upate kitu Roho inapenda.
🤣🤣Utarudi tuSitaki tena usukuma mie
Unachoooo bana, usomfanyiekijana uchoyooooJamani mim sina kitu cha kukupa sina lbd kama unataka niwe nakuombea
Huyo Mbappe anajua kwamba huyo demu wako yupo duniani?
Kama sijakusikia ujueMim sina cha kukupa ndo mana ukawa kaka😊😊
Ngoja niongezee msauti😂Kama sijakusikia ujue
Kiko wapi em kisontesheeUnachoooo bana, usomfanyiekijana uchoyoooo