Mbappe kanitekea demu wangu

Mbappe kanitekea demu wangu

huyu akikushika ooouh utamu hadi kwenye ukucha pumzi zinakuja na kukata kwa rahaa,yani nikimvutia picha naloa
Umejua kuponda ponda Moyo Moyo wangu Kwa hii komenti yako !!

Huna Hata huruma ,na mm nakupenda ivoivo japokua huna huruma.🤣🤣

Muwe mnatuchagulia yakutuambia jamaan
 
huyu akikushika ooouh utamu hadi kwenye ukucha pumzi zinakuja na kukata kwa rahaa,yani nikimvutia picha naloa
Unazingua mwenzako akasema kuwa angekuwa Hana iyo taito anawaoshea vioo vya cars zenu junction eti angekuwa Kama mbuzi wengine tu ama ndio niamini Ile kauli iliyonenwa na wahenga kuwa

" Women make rules for the average men, but breaks them all for men of value. Just like governments."
 
Hehehehe ukiniona, utanipenda zaidi hata ya Mbappe 🤣
Yaani mwenzako ameshapendwa so Kuja kutolewa moyoni adi uingie wewe iyo Ni sawa na kuitoa electron from second orbit to fifth orbit unajua ionization energy yake inayotakiwa lakini. Na bado haitakuwa stable electrons katika iyo orbit Mana sio Ile naturally mahala pake imelazimishwa na iyo nishati
 
Yaani mwenzako ameshapendwa so Kuja kutolewa moyoni adi uingie wewe iyo Ni sawa na kuitoa electron from second orbit to fifth orbit unajua ionization energy yake inayotakiwa lakini. Na bado haitakuwa stable electrons katika iyo orbit Mana sio Ile naturally mahala pake imelazimishwa na iyo nishati
Itabidi nisifanye matumizi ya energy yangu namna hiyo🤣

Raha ya hivi vitu vije naturally
 
Back
Top Bottom