Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,807
- 17,358
Nilimsahau baaba ndiye wa bariadi bana mama ndiye wa TarimeAah hapo uwez kabisa nukia samli
Nilimsahau baaba ndiye wa bariadi bana mama ndiye wa TarimeAah hapo uwez kabisa nukia samli
NdiyoJamaan jamaan, ni Kwa Mbappe tu?.
Why asikukumbuke jamani. Lazima kwani amekuwa jogoo kuwa kishamaliza haja zake jike hapetiwi Wala kupewa chakula ama kupewa koti kubwaHizi ni nyege zako tu za leo...kesho hutanikumbuka
mi naona ni ushamba tu wa dada zetu hata mm kuna rafiki yangu ana demu wake anamuelewa mbappe sana mpka mshikaji anaona wivu. ishu ni moja kama umemuelew sio kosa ila kosa ni kuonesha mapenz ya dhat kwa mbape kiliko mpenz wako uliye naye sa hv so ikitokea mbappe kakutana na ww maana yake itakuw rahis kumkana mpenz wako. mkubali mtu ila usijichoreshe ili kulind heshimHabari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Mapenzi yanauma wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uko na kisasi kizito sana we mtu kha
Mvumilivu hula mbivu😜Weeee thubutuuuu Mimi huyu nikusahau wewe ?? Thubutuuuu
Bahati nzuri unanijuaaa nimeanza kukusumbua Toka lini na nipoo tuuuu 🤣🤣🤣 na siachi ng'oooooooo
My mbape wako naona katika ubora wako, umekuja na ushahidi
Eeh ni leo 😄😄Ndo birthday yake leo? Niende kwa page yake nikajiexpress
Daaahh lkn fimbo ya mbali ... Hizo ofa mtupeni sisi ambao tunaonana !!Ndiyo
Nampa ofa ya kufungua na mwaka
Anashindwaje sasa kutunza na hela zote alizokuwa Nazo?Daaahh lkn fimbo ya mbali ... Hizo ofa mtupeni sisi ambao tunaonana !!
Mbape atakutunza lini?? Lini atakutoa out??
Nyie tuombeen sisi sura mbovu wenu, mtupende hivhivi tuu🤣🤣
Kikubwa mtuombeee tuwe na Pesa, tuwe maarufu kama mbape
Hapana, sio ushambaa Mkuu..mi naona ni ushamba tu wa dada zetu hata mm kuna rafiki yangu ana demu wake anamuelewa mbappe sana mpka mshikaji anaona wivu. ishu ni moja kama umemuelew sio kosa ila kosa ni kuonesha mapenz ya dhat kwa mbape kiliko mpenz wako uliye naye sa hv so ikitokea mbappe kakutana na ww maana yake itakuw rahis kumkana mpenz wako. mkubali mtu ila usijichoreshe ili kulind heshim
Ewaa na hiyo ndo kauli mbiu ya Muungwana, Huwa ni kuvumilia mpaka ukamilifu wa dahari 🤣🤣Mvumilivu hula mbivu😜
Nyiieeee njooooni hukuKinvuto wa ile mwanaume mweusi si mbaya anavutia ila siku ile hakucheza katika ubora sana.
Nyie nilimpendaga Ronaldinho gaucho hadi leo ukiniuliza nilipenda nini kwake sina jibu yale magoli mmmh.
Mtoto mwingine alikuwa akinirusha roho ni ozil, njeruman falaaa yule ana jicho kha.
Katoto kengine ingawa ni mdogo ila mvuto upo ni yule Timothy weah
My mbape wako naona katika ubora wako, umekuja na ushahidi
Aaah anahela sana tuuu ,ni Tajiri, ila anamambo mengi, Yuko mbali.Anashindwaje sasa kutunza na hela zote alizokuwa Nazo?
Nasisi je, watuelezeawatuelezeaje?Wanaume weusi ni wazuri wana mvuto sema tu mmeshatuvuruga wacha tupambane na wazungu.
Mbape si mbaya demu wako kumtanani na kumsifia wewe chukulia poa.
Ila kasahau na hawa
Kingsley junior coman huyu winger yes mvuto upo
Mwingine, ni paulo exequiel dybala huyu forward nae si haba
Na yule dogo thimothy weah
Vimo vingi vizuri na vile ni virefu havina vitambi jiandae kwa pressure zisizo za lazima.
Oyaaa wanaume weusi tumekumbukwa 🤣🤣🤣Wanaume weusi ni wazuri wana mvuto sema tu mmeshatuvuruga wacha tupambane na wazungu.
Mbape si mbaya demu wako kumtanani na kumsifia wewe chukulia poa.
Ila kasahau na hawa
Kingsley junior coman huyu winger yes mvuto upo
Mwingine, ni paulo exequiel dybala huyu forward nae si haba
Na yule dogo thimothy weah
Vimo vingi vizuri na vile ni virefu havina vitambi jiandae kwa pressure zisizo za lazima.
Akinipa muda hata dakika 1 tu inatoshaAaah anahela sana tuuu ,ni Tajiri, ila anamambo mengi, Yuko mbali.
Wenye muda ni sisis 🤣🤣
hakika nyie ndo mnafaidiYeye awadatishe tu, uzuri kula tunakula sisi wahapa hapa.
Aah Sawa basi w kaka angu kabisa kabisaNilimsahau baaba ndiye wa bariadi bana mama ndiye wa Tarime