Mbappe kanitekea demu wangu

Mbappe kanitekea demu wangu

Habari wakuu

Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.

Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Pole nimekutafutia mchumba mwingine.
Yeye anampenda yule jamaa wa akiachwa kama ameacha na akikuacha kama kakuacha
 
Kaka shikamoooooo...Mimi leo nilikuwaa tu nahave fun nothing serious
Marahaba.take easy bless mom. I know you've to have a fun no way out life Ni watu. Ukikifanya upo kwa mfensi wako mkubwa juu ghorofani unachungulia maji Mara upo kwa l BMW Mara li bezni li private jet na cruise ship waweza pata saikolojia shida
 
Aweeeeeeeeeh......Aibuuu nimeona mimiii
Hawa lazima wataita jina la mpabe during Wana cumm Hawa navyowaona jamani. Sema wanaume we've to take easy hata sie Kuna mastaa wa kike wanatuvutia. Nimekaa na nyimbo za Shakira Shania Twain etc na wife anajua pia sijamkosa Jordin spark na wife anasema hampendi Jordin Ila sijui Cate de Luna ananikubali kiana
 
Hii habari ukitaka lazima utuhakikishie ma manager kua utawezana au laah useme mapema kabisa.
Mimi Carlos The Jackal , msukuma wa Bariadi, Kwa akili yangu timamu na Kwa kuzingatia Katiba ya wanaume, tuloifanyia marekebisho mwaka 2022 , Nina kuahidi, ninaweza, kwakua nguvu ninazo, Ari ninayo, uwezo ninao 🤣🤣
 
Kwa Mbappe nikaze ili iweje? Haipo hivyo
So kwa mbape unaanza kulegeza macho na kuuma Uma kidole ama kushikashika nywele ukimuangalia kwa jicho la wizi. So tuwe Kama mbape na sio Tena kutafuta pesa
 
Back
Top Bottom