Wakuu bado tunaendelea kupokea ODA zenu! Kumbuka, hatuuzi magogo. Ni mbao zenye ukubwa(size) wa
(i) Inch 1 kwa inch 8 (1*8), urefu wa futi 10 (Mita 3)
(ii) Inch 2 kwa inch 6 (2*6), urefu wa futi 10 (Mita 3)
(iii) Inch 2 kwa inch 5 (2*5), urefu wa futi 10 (Mita 3)
(iv) Inch 1 kwa inch 5 (1*5), urefu wa futi 10 (Mita 3), n.k
Mbao ni za aina mbalimbali, kulingana na mahitaji yako!
NB: Kwa wale msiopenda usumbufu wa kusafiri hadi kufika katika ofisi yetu, wilaya ya Urambo, mkoa wa Tabora. Mnaweza kututumia barua pepe zenu (e-mail), kupitia namba zetu za simu ama barua pepe zetu;
Simu: 0784 324 102 / 0755 732 981 / 0784 667 480
Barua pepe:
info@mihambos.com /
sales@mihambos.com
Na tutakutumia MKATABA WA MAUZO/ MANUNUZI mara moja, ili taratibu nyinginezo ziweze kuendelea!
Karibuni sana.