Dindai
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 933
- 1,665
Hata mimi hiyo picha ndo imenifanya nikaufungua huu uziLabda iliekwa ikatolewa maana nami nmeitafuta holla
Hata mimi hiyo picha ndo imenifanya nikaufungua huu uziLabda iliekwa ikatolewa maana nami nmeitafuta holla
Huwezi jua mdau aliwahi kukumbana na masahibu gani ndio hadi leo yupo sokoni 😛😛😛 life is not always systematicHaya maneno ulitakiwa uyaseme miaka 30 nyuma
Samahani kwa kuwa mkweli
mtu wa miaka 50 sidhani kama anakuwa ameshastaafu. Kwa nini jamii haijielekezi kuwa na mawazo chanya jamani?Hahah! nimefurah nakutakia kila la kher katika safar yako! kwa jf umri huo hautapata sample kubwa coz wengi sio wa kusociliaze katika mitandao kama jamvin humu! Anyway let see ila pia usije ukawa kama unatafuta Mtaji kupitia mafao ya wazee hawa!
Sawa na kichwa cha habari hapo juu.
Mimi ni mmama mtu mzima (40-50) natafuta mbaba mtu mzima asiye na mke (aliyeachika au kufiwa) tujadili tuone kama tunaweza kuyasongesha.
Awe kuanzia miaka 50 na kuendelea na asiwe marioo. Najua wapo wengi tu hapa wenye sifa.
Nina shughuli za kawaida sana za kiuchumi, lakini nina afya njema pia.
Halafu kila siku unakiuka maadili. Hii ni 2016 ID mkuu.sijui anatafuta nini!
Halafu kila siku unakiuka maadili. Hii ni 2016 ID mkuu.
Mama pole. Huo mchezo utauweza kweli?Sawa na kichwa cha habari hapo juu.
Mimi ni mmama mtu mzima (40-50) natafuta mbaba mtu mzima asiye na mke (aliyeachika au kufiwa) tujadili tuone kama tunaweza kuyasongesha.
Awe kuanzia miaka 50 na kuendelea na asiwe marioo. Najua wapo wengi tu hapa wenye sifa.
Nina shughuli za kawaida sana za kiuchumi, lakini nina afya njema pia.

😛😛😛asante. Hakuna la ajabu nadhaniMama pole. Huo mchezo utauweza kweli?![]()