Wadau, sijakata tama maana hatukuumbiwa kuishi alone, na sababu ya kukomaa na maisha peke yako nayo haipo. Maisha ya ku-share ni mazuri, na ninajua wapo wenye hitaji kama langu. Kukutana ni popote, Pendelea kuwa mkweli, pendelea kuwa muaminifu. Baraka tele kwako.