Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Hapa hebu tuposti mambo mazuri ya CCM.
1. Kukubaliana na hali halisi ya kuruhusu uhuru wa kuongea, ukilinganisha na ilivyokuwa miaka ya zamani; na hata wakati mwingine ukilinganisha na nji fulani za Kiafrika.
2. Hebu ongezea hapo...
NB: Haina maana kwamba CCM haina mabaya inayofanya. Hapa tutaje mazuri. Mabaya ya CCM yapo karibu kila mjadala mwingine hapa ukumbini. Hata Idd Amin (S.I. Unit ya ubaya kwa Watanzania tuliosikia kuhusu Amin kupitia vita vya Kagera) alifanya mazuri kwenye baadhi ya mambo (gazeti la Serikali ya Uganda The New Vision lilipata kuandaa makala mahsusi kwa ajili hiyo).
Baada ya mada hii tutajadili mabaya ya CHADEMA (mazuri ya CHADEMA yapo kila mahali ukumbini hapa).
1. Kukubaliana na hali halisi ya kuruhusu uhuru wa kuongea, ukilinganisha na ilivyokuwa miaka ya zamani; na hata wakati mwingine ukilinganisha na nji fulani za Kiafrika.
2. Hebu ongezea hapo...
NB: Haina maana kwamba CCM haina mabaya inayofanya. Hapa tutaje mazuri. Mabaya ya CCM yapo karibu kila mjadala mwingine hapa ukumbini. Hata Idd Amin (S.I. Unit ya ubaya kwa Watanzania tuliosikia kuhusu Amin kupitia vita vya Kagera) alifanya mazuri kwenye baadhi ya mambo (gazeti la Serikali ya Uganda The New Vision lilipata kuandaa makala mahsusi kwa ajili hiyo).
Baada ya mada hii tutajadili mabaya ya CHADEMA (mazuri ya CHADEMA yapo kila mahali ukumbini hapa).