Mazuri na mabaya matatu ya Rais Magufuli

Kuna mengine umepatia lakini kuna mengine umekosea kama hili la visasi. Kwa vile Rais Magufuli ni Msukuma, Wasukuma sio watu wa visasi, ni watu peace sana na ndilo kabila linaloongoza kwa kupenda nchini Tanzania, hakuna kabila linaloongoza kwa upendo kama Wasukuma sasa hivyo visasi vitoke wapi?.
Ulaji Dr. Slaa: Magufuli anazidi kuthibitisha ni Rais wa wote, mwenye huruma na anayejali. Dr. Shika kuteuliwa? - JamiiForums

Usije ukachanganya ukali na visasi, ukali wa rais Magufuli sio wa visasi, kama pale aliposema kuhusu wasaliti vitani huwa wanafanywa nini na kusema tuko kwenye Vita ya uchumi ni ngumu kuliko Vita ya silaha hivyo wasaliti hawawezi kuachwa waka survive, haya yalikuwa ni maneno tuu.

Kanda ya Ziwa na kuongea kwa ukali: Ukali wa Rais Magufuli ni asili tuu ya wasukuma, sio udikteta! - JamiiForums

Kwenye Haki za Wanyonge, Magufuli ni Kama Khalifa Mkuu Harun El Rashid wa Alfu Lela Ulela!. - JamiiForums

Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A Man of The People! - JamiiForums

NB. Simaanishi kwamba rais Magufuli ni malaika, no, rais Magufuli ni binaadamu tuu kama binaadamu wengine na kuna wakati anafanya makosa ya kibinaadamu na huko nyuma kuna makosa mengi tuu amefanya lakini tusimuhukumu kwa makosa ya nyuma au kwa mapungufu yake, bali tumuunge mkono kwa strength zake na anatupeleka wapi.

Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!. - JamiiForums

P
Si kweli

Kwakuwa unawaza kwa tumbo ndio maana unawaza hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wawili tofauti hapa. Kuna aliyesema na kuna waliotenda ili kuyaishi yale yaliyosemwa. Jee walipanga?, walitumwa?, walitenda tuu wenyewe bila kutumwa?, au ni wahuni fulani baada ya kumsikia fulani katamka hivi, wakaamua kufanya kweli ili kumchafua kwa vile alitamka then ataonekana lazima ni yeye!

P
Hakuna watu wawili tofauti, yeye alisema watendaji wakatekeleza au ulitegemea atekeleze mwenyewe??
Otherwise wangekuwa apprehended.
Nafasi yake siyo ya kuropoka, and he didn't, he meant it.
 
Kuna mengine umepatia lakini kuna mengine umekosea kama hili la visasi. Kwa vile Rais Magufuli ni Msukuma, Wasukuma sio watu wa visasi, ni watu peace sana na ndilo kabila linaloongoza kwa kupenda nchini Tanzania, hakuna kabila linaloongoza kwa upendo kama Wasukuma sasa hivyo visasi vitoke wapi?.
Ulaji Dr. Slaa: Magufuli anazidi kuthibitisha ni Rais wa wote, mwenye huruma na anayejali. Dr. Shika kuteuliwa? - JamiiForums

Usije ukachanganya ukali na visasi, ukali wa rais Magufuli sio wa visasi, kama pale aliposema kuhusu wasaliti vitani huwa wanafanywa nini na kusema tuko kwenye Vita ya uchumi ni ngumu kuliko Vita ya silaha hivyo wasaliti hawawezi kuachwa waka survive, haya yalikuwa ni maneno tuu.

Kanda ya Ziwa na kuongea kwa ukali: Ukali wa Rais Magufuli ni asili tuu ya wasukuma, sio udikteta! - JamiiForums

Kwenye Haki za Wanyonge, Magufuli ni Kama Khalifa Mkuu Harun El Rashid wa Alfu Lela Ulela!. - JamiiForums

Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A Man of The People! - JamiiForums

NB. Simaanishi kwamba rais Magufuli ni malaika, no, rais Magufuli ni binaadamu tuu kama binaadamu wengine na kuna wakati anafanya makosa ya kibinaadamu na huko nyuma kuna makosa mengi tuu amefanya lakini tusimuhukumu kwa makosa ya nyuma au kwa mapungufu yake, bali tumuunge mkono kwa strength zake na anatupeleka wapi.

Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!. - JamiiForums

P
Hapa umechemka!!!!
 
Aliyekudanganya nani?? Mwenye uwezo wakujua siri za hapa ni Jamii Forum Media pekee,ndiyo maana wana case mahakamani yakukataa kutoa siri za wateja wao...

Kama Serikali wangekua wanajua siri zetu unadhani humu ndani wangebaki watu?? Waongeze tu maarifa,labda siku za mbele wanaweza kua wanadukua taarifa zetu bila yakupitia Jamii Forum Media.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!!
 
Kuna mazuri na mabaya ya Magufuli

Mazuri
  • Anapenda utekelezaji wa haraka. Tanzania ilifika wakati utekelezaji wa kila kitu unachukua muda mwingi sana
  • Anapenda miradi mikubwa. Bila miradi mikubwa kama ya umeme nafuu, maji safi …. Ni ngumu kuleta maendeleo
  • Hajaogopa kuangalia mikataba mibaya hasa ya nishati na madin

Mabaya

  • Ameshusha na kuongeza unyanyasaji kwenye demokrasia. Hasa wanasiasa wa upinzani na vyombo vya habari
  • Ni mgumu kugundua kakosea na kubadilika. Vilevile amekuwa mjuaji wa kila swala kitu ambacho si kweli. Mfano kwenye uchumi hasa mfumo wa bank na mambo ya nje ameonyesha mapungufu sana
  • Ni mtu wa visasi na hatufautishi Uraisi yay eye binafsi
Atakuwa raisi mzuri zaidi kama atarekebisha mabaya yake.
Umebalance vizuri sana mkuu. Ili maendeleo yaende kwa kasi zaidi, hapo hayo mapungufu yarekebishwe, japo haiwezi kuwa 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi atafeli mno...
...kutokea hvyo hatupendi sababu ni gharama kubwa na kwa vizazi vijavyo...

....usipofwata utawala wa sheria hufiki mahali
Anatawala kama amepindua nchi....


Watalimia meno,haya maneno hata kabla ya kuchukua fomu,ikimaanisha ana chuki hata haelewi zitamtia hatiani


Si wa matumaini na hatakua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kakaaaa

Makosa yake kwetu ndo msalaba na taji la miba
Makosa yake ushasema ni mengi kuliko mazuri
Hata wakikosea watumishi wake tunamlaumu nani?
Yote ni uteuzi wake,zigo apewe nani
Anajipangia washauri,wanafanya makosa ya gharama kubwa,abebeshwa na miba hyo

Ni ngumu kumsafisha kwa fikra za kitemi

Sifa anazopata hata Mungu atazifuta kama Daudi alivyomtuma askari wake awekwe kwenye mapigano makali

Ngoja nikaombe visa ya South Korea
Kuna mengine umepatia lakini kuna mengine umekosea kama hili la visasi. Kwa vile Rais Magufuli ni Msukuma, Wasukuma sio watu wa visasi, ni watu peace sana na ndilo kabila linaloongoza kwa kupenda nchini Tanzania, hakuna kabila linaloongoza kwa upendo kama Wasukuma sasa hivyo visasi vitoke wapi?.
Ulaji Dr. Slaa: Magufuli anazidi kuthibitisha ni Rais wa wote, mwenye huruma na anayejali. Dr. Shika kuteuliwa? - JamiiForums

Usije ukachanganya ukali na visasi, ukali wa rais Magufuli sio wa visasi, kama pale aliposema kuhusu wasaliti vitani huwa wanafanywa nini na kusema tuko kwenye Vita ya uchumi ni ngumu kuliko Vita ya silaha hivyo wasaliti hawawezi kuachwa waka survive, haya yalikuwa ni maneno tuu.

Kanda ya Ziwa na kuongea kwa ukali: Ukali wa Rais Magufuli ni asili tuu ya wasukuma, sio udikteta! - JamiiForums

Kwenye Haki za Wanyonge, Magufuli ni Kama Khalifa Mkuu Harun El Rashid wa Alfu Lela Ulela!. - JamiiForums

Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A Man of The People! - JamiiForums

NB. Simaanishi kwamba rais Magufuli ni malaika, no, rais Magufuli ni binaadamu tuu kama binaadamu wengine na kuna wakati anafanya makosa ya kibinaadamu na huko nyuma kuna makosa mengi tuu amefanya lakini tusimuhukumu kwa makosa ya nyuma au kwa mapungufu yake, bali tumuunge mkono kwa strength zake na anatupeleka wapi.

Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!. - JamiiForums

P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mazuri na mabaya ya Magufuli

Mazuri
  • Anapenda utekelezaji wa haraka. Tanzania ilifika wakati utekelezaji wa kila kitu unachukua muda mwingi sana
  • Anapenda miradi mikubwa. Bila miradi mikubwa kama ya umeme nafuu, maji safi …. Ni ngumu kuleta maendeleo
  • Hajaogopa kuangalia mikataba mibaya hasa ya nishati na madin

Mabaya

  • Ameshusha na kuongeza unyanyasaji kwenye demokrasia. Hasa wanasiasa wa upinzani na vyombo vya habari
  • Ni mgumu kugundua kakosea na kubadilika. Vilevile amekuwa mjuaji wa kila swala kitu ambacho si kweli. Mfano kwenye uchumi hasa mfumo wa bank na mambo ya nje ameonyesha mapungufu sana
  • Ni mtu wa visasi na hatufautishi Uraisi yay eye binafsi
Atakuwa raisi mzuri zaidi kama atarekebisha mabaya yake.
Ana roho mbaya sana, ugomvi wa kisiasa anataka kukutoa roho,
Hana hoja analazimisha kupendwa kwa kutumia polisi na TISS,
Anajifanya mjuaji wa kila kitu hata mambo ya uchumi hataki kushauriwa, matokeo yake ameishia kuteka wafanyabiashara wakubwa na kudhulumu korosho za wakulima wa lindi na mtwara eti waonyeshe shamba ndio awalipe,UDHULUMAJI.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mhimilwa, wala hakuna kazi yoyote kunielewa, kwa sababu naandikia two audiences at the same time, the ordinary people ambao watasoma kilichoandikwa na watapata kitu, at the same time, naandikia ma GT wenye uwezo to read in between the lines, hawa watapata the motive behind, na wote wataelewa kwa kadri ya uwezo wao wa uelewa.
P

hahahaahahahaha.......
haya mkuu.
 
Hakuna watu wawili tofauti, yeye alisema watendaji wakatekeleza au ulitegemea atekeleze mwenyewe??
Otherwise wangekuwa apprehended.
Nafasi yake siyo ya kuropoka, and he didn't, he meant it.
Hilo la kuropoka nalo neno, ila mtu anapozungumza, attentive listeners wanaweza ku differentiate mtu anapozungumza just to pay lip services and when he ment it. Kwenye kuzungumzia wasaliti, it was just some lip services, he really didn't mean it.
Ni kama alipotamani malaika washuke kuja kuifunga mitandao or alipo wish I could be IGP.

Tuliisha shauri humu, wasaidizi wake wamsaidie, kwa sababu yeye as a CinC, hawezi kujisemea tuu lolote popote.

Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . - JamiiForums

Je, aachwe aseme tu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?!. - JamiiForums
P
 
Utambulusho wa mtu ni majina anayotumia na asili aliojinasibu nayo, hivyo rais wetu ni Msukuma wa Chato. Hayo ya alikuja mgongoni ni mapokeo tuu kama simulizi za Mkuu Britannica.
Mnaamaa Tanzania hatuna Tiss wenye kazi ya verting hadi wewe ujue alikuja mgongoni toka huko alikozaliwa, tukiwauliza alizaliwa wapi na Baba yake halisi ni nani, mnabaki kujiumauma tuu. Kama kuna kitu cha kweli mnakijua kumhusu mtu wetu, semeni, kama hamna nyamazeni msituletee hadithi hadithi za uwongo njoo utamu kolea .

P
Kama kuna sehemu ambapo TISS hawatakiwa kulaumiwa ni hapa. Chama kiliburuza kila kitu hadi TISS waliburuzwa. Nadhani umenielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna sehemu ambapo TISS hawatakiwa kulaumiwa ni hapa. Chama kiliburuza kila kitu hadi TISS waliburuzwa. Nadhani umenielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya maeneo ambayo TISS walipaswa kuwa makini kabisa kuliko mahali pengine popote ni kwenye vetting ya baadhi ya nafasi, kuna baadhi ya mambo tunawalaumu wanasiasa bure tuu, kumbe tunawaonea, the real people who have failed this nation ni hawa TISS.

Kwa wenzetu Wamarekani, kugombea baadhi ya nafasi, there has to be documentary evidence ya citizenship by birth, huko kwetu, watu wanazaliwa huko walikozaliwa, baba zao ni wa huko, kisha wanakuja nchini na kugeuka ni Watanzania wenzetu just like that.
P
 
Magufuli ni Rais bora kwa kipindi hiki, awamu iliyopita wengi walilalamika eti Rais alikuwa mpole sana ndio maana ufisadi ulishamiri , sasa mmeletewa mlichokuwa mnataka tutulie afanye yake, tena 2020-2025 akaze mpaka watu wajifie wenyewe. Heri punda afe ila mzigo ufike.
 
Kati ya maeneo ambayo TISS walipaswa kuwa makini kabisa kuliko mahali pengine popote ni kwenye vetting ya baadhi ya nafasi, kuna baadhi ya mambo tunawalaumu wanasiasa bure tuu, kumbe tunawaonea, the real people who have failed this nation ni hawa TISS.

Kwa wenzetu Wamarekani, kugombea baadhi ya nafasi, there has to be documentary evidence ya citizenship by birth, huko kwetu, watu wanazaliwa huko walikozaliwa, baba zao ni wa huko, kisha wanakuja nchini na kugeuka ni Watanzania wenzetu just like that.
P
Nakuunga mkono asilimia zote lakini naona kwetu ni tofauti na huko kwingine unakosema, maana hapa kwetu eti nguvu ya chama nguvu ya Chama ni kubwa kuliko ya TISS. Hapa kwetu taasisi za Usalama zinasalenda kwa wanasiasa badala ya wanasiasa kusalenda kwa vyombo vya Usalama. Siasa zinaendesha vyombo vyetu si kwa faida ya Taifa kama inavyotakiwa ila kwa faida ya kundi Fulani la siasa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuunga mkono asilimia zote lakini naona kwetu ni tofauti na huko kwingine unakosema, maana hapa kwetu eti nguvu ya chama nguvu ya Chama ni kubwa kuliko ya TISS. Hapa kwetu taasisi za Usalama zinasalenda kwa wanasiasa badala ya wanasiasa kusalenda kwa vyombo vya Usalama. Siasa zinaendesha vyombo vyetu si kwa faida ya Taifa kama inavyotakiwa ila kwa faida ya kundi Fulani la siasa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja, but that is not how things should be.

P
 
Back
Top Bottom