Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,035
- 144,387
Kwanini kauli kali hizi zinatolewa leo hii?
Kwanini Muhongo leo hii?
Ni hasira tu?
Nini kilicho nyuma ya hasira hii?
Sababu ya Muhongo kufukuzwa inajulikana,leo hii mbona anakuja na sababu nyingine?
Mazungumzo yale si lazima yawe sababu lakini bado naamini kuna jambo/mambo makubwa yanayokwenda kinyume na alivyotarajia maana hizi kauli si za kawaida na ni lazima zina msukumo tu nyuma yake.
Inawezekana pia anatuandaa kisaikolojia kupokea habari za kubadili baraza la mawaziri.
Kwanini Muhongo leo hii?
Ni hasira tu?
Nini kilicho nyuma ya hasira hii?
Sababu ya Muhongo kufukuzwa inajulikana,leo hii mbona anakuja na sababu nyingine?
Mazungumzo yale si lazima yawe sababu lakini bado naamini kuna jambo/mambo makubwa yanayokwenda kinyume na alivyotarajia maana hizi kauli si za kawaida na ni lazima zina msukumo tu nyuma yake.
Inawezekana pia anatuandaa kisaikolojia kupokea habari za kubadili baraza la mawaziri.