Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,629
- 1,282
Caroline Kiyoki: Niaje James?
James: Poa Caro, za Kenya?
Caroline Kiyoki: poa. You are lost au uko kwa campaign ya Tz?
James: hapana,
Caroline Kiyoki: Ati nikuulize kitu?
James: Yap!
Caroline Kiyoki: ati huko tz ako na mgombea wa urais hana wife? Sijui ccm?
James: ndiyo, wameachana.
Caroline Kiyoki: 😳😳😳
Caroline Kiyoki: sasa hata kwa campaign hamfanyii? Na first lady itakwaje kama huyo mgombea aki win election?
James: hapana, hawezi kushinda ndio maana hajaangaika kutafuta hata nyumba ndogo.
Caroline Kiyoki: what do you mean by Nyumba ndogo?
James: Bibi mwingine.
Caroline Kiyoki: 😀😀😀
Caroline Kiyoki: na pia nasikia kuwa ako na mwingine who doesn't know English!😜😜😜
James: ndo huyo huyo ambae ana mgogoro na wife wake.
Caroline Kiyoki: 🙊🙊🙊
Caroline Kiyoki: Nasikia mwingine is mad! Hapiti kwa mlango wa gari, anaruka juu na akiwa kwenye rally anafanya body exercise kwansa.
James: yeah, ndo huyo huyo.
Caroline Kiyoki: U can't be serious u
Tanzanians! Hiyo party yake aiko serious!
James: hawezi kupita. Watu wanamwona kama comedian, Mr Bean.
Caroline Kiyoki: hayo mweke kwa maajabu ya dunia!
James: Poa Caro, za Kenya?
Caroline Kiyoki: poa. You are lost au uko kwa campaign ya Tz?
James: hapana,
Caroline Kiyoki: Ati nikuulize kitu?
James: Yap!
Caroline Kiyoki: ati huko tz ako na mgombea wa urais hana wife? Sijui ccm?
James: ndiyo, wameachana.
Caroline Kiyoki: 😳😳😳
Caroline Kiyoki: sasa hata kwa campaign hamfanyii? Na first lady itakwaje kama huyo mgombea aki win election?
James: hapana, hawezi kushinda ndio maana hajaangaika kutafuta hata nyumba ndogo.
Caroline Kiyoki: what do you mean by Nyumba ndogo?
James: Bibi mwingine.
Caroline Kiyoki: 😀😀😀
Caroline Kiyoki: na pia nasikia kuwa ako na mwingine who doesn't know English!😜😜😜
James: ndo huyo huyo ambae ana mgogoro na wife wake.
Caroline Kiyoki: 🙊🙊🙊
Caroline Kiyoki: Nasikia mwingine is mad! Hapiti kwa mlango wa gari, anaruka juu na akiwa kwenye rally anafanya body exercise kwansa.
James: yeah, ndo huyo huyo.
Caroline Kiyoki: U can't be serious u
Tanzanians! Hiyo party yake aiko serious!
James: hawezi kupita. Watu wanamwona kama comedian, Mr Bean.
Caroline Kiyoki: hayo mweke kwa maajabu ya dunia!