Mazoea yanaleta dharau

Mazoea yanaleta dharau

Hamna kitu kibaya kama kujipendekeza... Of course kwa unayejipendekeza kwake lazima akudharau hata kama unafaidika na kujipendekeza ... Na kikawaida kujipendekeza sana Kuna ambatana na Unafiki automatically..... Angalia mtu anyejipendekeza sana tabia zake..... Utabaini ka unafiki kalikoota mizizi Kako ndani yake..😕
 
Hamna kitu kibaya kama kujipendekeza... Of course kwa unayejipendekeza kwake lazima akudharau hata kama unafaidika na kujipendekeza ... Na kikawaida kujipendekeza sana Kuna ambatana na Unafiki automatically..... Angalia mtu anyejipendekeza sana tabia zake..... Utabaini ka unafiki kalikoota mizizi Kako ndani yake..😕
Na hapa kwetu kati ya wanaume kumi ,nane wana tabia za kujipendekeza kwa mtu .

Ndiyo maana katika marafiki zako kumi mmoja ndiye rafiki wa dhati wengine wana masilahi na wewe ni hapo mkuuu ,boss ,tajiri mara mwamba hazikauki midomoni mwao kukusifia hata visivyosifika .
 
Na hapa kwetu kati ya wanaume kumi ,nane wana tabia za kujipendekeza kwa mtu .

Ndiyo maana katika marafiki zako kumi mmoja ndiye rafiki wa dhati wengine wana masilahi na wewe ni hapo mkuuu ,boss ,tajiri mara mwamba hazikauki midomoni mwao kukusifia hata visivyosifika .
Hakika hili lipo sana
 
 
Usije ukaruhusu hata siku moja watu wakuzoee kupita kiasi.

Acha wakuone unalinga, unavimba na unajisikia pia, kwa sababu watu wakikuzoea sana mazoea huwa yanaleta dharau.

Jua kusoma nyakati
Ngoma ikivuma sana
mwisho wake hupasuka.
Kweli KABISA.
 
Kwenye maisha usiwe unatabirika ndio inapendeza...
Kwenye jamii huwezi kukataa mazoea kabisa, yaani usichangamane na jamii iliyokuzunguka ni ngumu.
Ila usitabirike na kuwachekea chekea hovyo..
 
Back
Top Bottom