Nani kakwambia sijifuniki? Kwanza Kiislam haturuhusiwi kulala tupu kabisa.Mashimo hayo yapi, mbona pua na masikio hufuniki ukilala
Hao wadudu hawayaoni
Huo ni uzwazwa kama uzwazwa mwingine tu.
Hakuna mdudu anaweza kuingia kwenye tundu la mwanadamu
Ikitokea ujue ni ajali kama ajali zingine bibi yangu
hapo na kipande chako cha sabuni mkononi mpwa, dk sifuri unakirusha kimoja chaaap alafu unaendelea kupunga upepo.nikishinda ndani nakua uchi
cojones zikiwa zinaning'inia mda wote,
Pole, hiyo roho ya hofu, wasiwasi na uoga uwapata watu dhaifu kiroho.Nikiwa uchi hata nikiwa mwenyewe ndani napoteza confidence, Unalala uchi unakuja kushtuka umepalalazi mwili wote ni shingo na kichwa tu vinafanya kazi sasa kuita msaada unaweza ila tatizo wakiingia wanakukutaje na ubaya hujanyoa muda sana
Ni ujinga na upumbavu mtupu kuamini mizimuUkilala bila ya nguo aka ukilalaa uchi unamkaribisha Jini mahaba akuvamie ukiwa ni mwanamume unalala pasipo na nguo jini mahaba wa kike ndio atakuw ampenzi wako.
Na ukiwa ni mwanamke unalaal pasipo na nguo jini Mahaba wa kiume ndio atakuwa mume wako kazi kwenu munaopenda kulala pasipo an nguo.
Acha kuandika matusi ya kimafumboTandu, nge, nyoka na wadudu wengi tu wanapenda mashimo.
OkNi ajali kama ajali zingine tu,
Hizo nguo zingekuwa na maana tungezaliwa nazo
Me binafsi liwe joto ama baridi nalala uchiii kabisa.
Labda ugenini pekee
Sasa madam, nami si nalala uchi lkn nipo kwenye NetNani kakwambia sijifuniki? Kwanza Kiislam haturuhusiwi kulala tupu kabisa.
Kihusu masikikio na pua, sijawahi kulala bila net (chandarua)
Bila net sipati usingizi.
Hizo Ni ajali na utokea mara chache, kama kuunguliwa moto ukiwa bafuni unaoga ama wahuni wanaweza kukukomoa kuchukua taulo ukiwa bafuni ili wakuibie ndaniKuna mwingine alikuwa na mchezo huo huo wa kulala uchi. Kipindi hicho kabla ya mita za luku kulikuwa ni vidude vinabandikwa kwenye mita sina hakika jina lake.
Wezi walikuwa wanavichomoa sana na hata Tanesco ilikuwa wanavichomoa kama hujalipa deni.
Ikatokea siku hiyo mwizi kachomoa hicho kidude usiku mkali, jamaa akakurupuka mbio kumkimbiza. Wenge la kutoka usingizini hakukumbuka kuwa hajavaa nguo.
Kuja kutahamaki keshakatiza nyumba kadhaa akiwa uchi kabisa.
Ilibidi aachane na mwizi arudi kujisitiri.
SawaHizo Ni ajali na utokea mara chache, kama kuunguliwa moto ukiwa bafuni unaoga ama wahuni wanaweza kukukomoa kuchukua taulo ukiwa bafuni ili wakuibie ndani
Zote hizo ni ajali, huwezi sema sitaoga tena uchii
Ipo siku popo Bawa atakudinya aminini nakuchanaMsimu wa Joto huu hapa ndio zile nyakati unatoka kuoga baada ya maji yatiririke jasho ndio linatoka wazee wa AC wanapeta tu na feni hazipo nyuma kupambana na joto afu kuna wazee wa kulala wakiwa watupu.
Kama wewe ni jinsia Ke basi Ruksa kulala bila nguo.
Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole
Hongera kwa kugundua dawa mpya ya uzazi wa mpangoMie kabla sikazalishwa Nilikuwa siwezi kulala uchi
Baada ya kuingia leba nikajionea kawaida,nikaanza kulala uchi,manake kule ni tupu bini wazi
Sasa sijakaa vizuri baba watoto akanidunga ya pili lol nikaanza kulala na jinsi
Usijaribu mkuu kuna majini mabazazi.Basi kuanzia Leo nianze kulala uchi jini mahaba akaribie kwangu maana kulala Peke yangu na baridi hii upwiru unakaba koo
Kulala uchi hapana. Labda ile nikiwa geto baada ya kumaliza kuchakata mbususu story mbili tatu ndio usingizi utupitieMsimu wa Joto huu hapa ndio zile nyakati unatoka kuoga baada ya maji yatiririke jasho ndio linatoka wazee wa AC wanapeta tu na feni hazipo nyuma kupambana na joto afu kuna wazee wa kulala wakiwa watupu.
Kama wewe ni jinsia Ke basi Ruksa kulala bila nguo.
Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole
Be careful.Ni ajali kama ajali zingine tu,
Hizo nguo zingekuwa na maana tungezaliwa nazo
Me binafsi liwe joto ama baridi nalala uchiii kabisa.
Labda ugenini pekee
kazi kwako.Sasa madam, nami si nalala uchi lkn nipo kwenye Netkwayo mdudu anaingiaje hapo
Ja kama huko ndo anapokaa je..?
Sawa usijali popo bawa kaona komenti yakoSiwez lala na nguo naona zinanitekenya
Uko na Ufala MwingiNikiwa uchi hata nikiwa mwenyewe ndani napoteza confidence, Unalala uchi unakuja kushtuka umepalalazi mwili wote ni shingo na kichwa tu vinafanya kazi sasa kuita msaada unaweza ila tatizo wakiingia wanakukutaje na ubaya hujanyoa muda sana