Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
Kuna mdada anaomba ushauri, akikamua chuchu zinatoa maji ya njano ni tatizo gani? Age 23, hajawahi pata mimba.
Kuna mdada anaomba ushauri, akikamua chuchu zinatoa maji ya njano ni tatizo gani? Age 23, hajawahi pata mimba.
nimemshauri kesho akapime,Dr wa ukweli hongera sana umlenga shabaha.
nimemshauri kesho akapime,
Kwani kakwambia haitaki??Mwambie akaitoe hyo mimba haraka iwezekanavyo
Kuna mdada anaomba ushauri, akikamua chuchu zinatoa maji ya njano ni tatizo gani? Age 23, hajawahi pata mimba.
Mimi nilidhani wewe Dr. wa Ukweli una majibu kumbe huna tofauti na Dr. Augustine Lyatonga Mrema.
mkuu kuna Dr wa aina nyingi, swala la mimba siyo coz hajasex muda yapata miezi mitatu sasa na period anapata kama kawaida
Title ya thread haiko sawa....sio MAZIWA ni MATITI au MANYONYO