mpushi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 280
- 77
Wadau salaam, Mimi ni mjasiriamali natafuta soko la maziwa fresh (ambayo hayajachanganywa na maji kbsa). Nina uwezo wa kusupply lita hadi 100 kwa siku. Napatikana morogoro. Mwenye uhitaji wa maziwa hayo kwa jumla au rejareja tafadhali usisite kunitafuta