Maziwa fresh ya ng'ombe

Maziwa fresh ya ng'ombe

mkuu pia ungecheki na hizi cafe kubwa kubwa ambazo zipo city senta,,, ungekuwa dar ingekuwa fursa zaidi, lakn pia moro sio mbali lakini kwa kiasi hicho cha lita 100per day ukileta dar itakulipa ukiweka na gharama za usafiri ?
Kama ni kuleta dar itabidi lita iwe 1500 mkuu ili costs za kusafirisha zisiniumize sana, ila nikipata sehem kuleta sio ttzo kila siku mzgo utafika kwa uhakika
 
Back
Top Bottom