Acheni ujinga...fanyeni mabo ya maan asio kutulazimisha kuukubali ujinga wenu..mnajua tafsiri ya uhuru?na mna uhakika hao waliokuwa wakiwarushia mawe polisi kujibizana nao kwa kutumia nguvu walikuwa wapigania uhuru??we umemsikia kiongozi gani wa chadema katoa msaada hata wa kununua sanda za marehemu??wakoime kutangulizwa mbele na wanasiasa kama chambo.........
sasa wewe polisi humu JF umeingia lini..., humu hamna hasira... hasira hasara.....mmeshaleta hasara na hasira zenu za kipolisi