Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
Wanajamii
Jana kupitia vyombo mbalimbali vya habari tumesikia na kuona kuwa miili ya wapiganaji wetu ilitelekezwa baada ya kuibiwa Motuary na polisi usiku wa kuamkia jana. Ni maajabu kwelikweli!
Kwa yeyote mwenye taarifa atujuze status ya miili hiyo. Mazishi yamefanyika?
Wapiganaji na wanapinduzi waliofariki ktk kisanga hiki..R.I.P:A S-rose:
Jana kupitia vyombo mbalimbali vya habari tumesikia na kuona kuwa miili ya wapiganaji wetu ilitelekezwa baada ya kuibiwa Motuary na polisi usiku wa kuamkia jana. Ni maajabu kwelikweli!
Kwa yeyote mwenye taarifa atujuze status ya miili hiyo. Mazishi yamefanyika?
Wapiganaji na wanapinduzi waliofariki ktk kisanga hiki..R.I.P:A S-rose: