Mazishi ya Shimoni Peresi vs mazishi ya Mandela!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Hivi ndivyo Dunia inavyotuona Waafrika na kutuchukulia, hapa utaona kuna tofauti kubwa sana, kwenye mazishi ya Myahudi Peres heshima tupu kila mtu yupo kimya ambapo ni ishara kwa kwamba wanatoa heshima kwa marehemu ambaye walimuheshimu wkt kwenye mazishi ya Nelson Mandela ilikuwa ni full party na kujiachia na hata neno selfie lilizaliwa kwenye mazishi ya Nelson Mandela!
Haya ni maoni yangu binafsi!

Shimon Peresi

Raisi Obama (USA) akiongea kwa kutafakari na kwa uchungu, kwenye mazishi ya myahudi Shimon Peresi!

amerikas-praesident-barack.jpg


barack-obama-reiste-als.jpg



auch-angereist-der-britische.jpg



3,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


Baadhi ya Viongozi wakuu wa Dunia wakisikiliza kwa utulivu na umakini mkubwa risala iliyokuwa inasomwa kama ishara ya heshima kwa marehemu kwenye mazishi ya Shimoni Peresi!

2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg




2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg



vs
Nelson Mandela


Wakati kwenye mazishi ya Peresi watu walikuwa na huzuni na umakini kwenye mazishi ya Mandela hali ilikuwa ni tofauti kama ionekanavyo pichani Raisi Obama (USA) akicheka na kuchukuwa selfie, sasa sijui inaashiria nini, lkn ndivyo hali ilivyokuwa!!
obama-s-selfie-at-nelson-mandela-s-funeral-1089477-TwoByOne.jpg




obamasmile3.jpg


obama-selfie-pic-5.jpg



Hapa Viongozi mbalimbali wakifurahia kikombe cha kahawa huku wakitabasamu, hakuna kutafakari wala nini, ni full kicheko tu!
article-2521146-1A01A7C000000578-270_964x501.jpg



michelle-obama-selfie--644x362.JPG





16aaab9c249c7b5b_454628259.preview_tall.jpg
 
Mandela life was celebrated siku ya mazishi yake.... hakuna tatizo huo ni mtazamo wako hasi


Lakini hauoni kwamba inaathiri jinsi Dunia inavyotuchukulia? Ni kwamba sisi siyo watu serious na kwamba tunacheza na kufuahia kwenye mazishi? Kesho ukitaka mtu akusikilize halafu akakupuuzia utalalamika amekubagua?
 
Titan miss Daima no matter mazishi yake yalikuaje,ingawa Siku hiz kumekua Na Tania chafu watu selfie had kwenye shimo la kaburi
 
Namuona Mahamud Abbas hapo nahisi ndo kwa mara ya kwanza anatia miguu Jerusalemu mji mtakatifu kutoka kwa wenzake Fatah wanaomzuia kuingia Jerusalemu, karibu sana mazishini Abbas tumzike shujaa na baba wa taifa Peres S
2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg
 
Hivi ndivyo Dunia inavyotuona Waafrika na kutuchukulia, hapa utaona kuna tofauti kubwa sana, kwenye mazishi ya Myahudi Peres heshima tupu kila mtu yupo kimya ambapo ni ishara kwa kwamba wanatoa heshima kwa marehemu ambaye walimuheshimu wkt kwenye mazishi ya Nelson Mandela ilikuwa ni full party na kujiachia na hata neno selfie lilizaliwa kwenye mazishi ya Nelson Mandela!
Haya ni maoni yangu binafsi!

Shimon Peresi

Raisi Obama (USA) akiongea kwa kutafakari na kwa uchungu, kwenye mazishi ya myahudi Shimon Peresi!

amerikas-praesident-barack.jpg


barack-obama-reiste-als.jpg



auch-angereist-der-britische.jpg



3,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


Baadhi ya Viongozi wakuu wa Dunia wakisikiliza kwa utulivu na umakini mkubwa risala iliyokuwa inasomwa kama ishara ya heshima kwa marehemu kwenye mazishi ya Shimoni Peresi!

2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg




2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg



vs
Nelson Mandela


Wakati kwenye mazsihi ya Peresi watu walikuwa na huzuni na umakini kwenye mazishi ya Mandela hali ilikuwa ni tofauti kama ionekanavyo pichani Raisi Obama (USA) akicheka na kuchukuwa selfie, sasa sijui inaashiria nini, lkn ndivyo hali ilivyokuwa!!
obama-s-selfie-at-nelson-mandela-s-funeral-1089477-TwoByOne.jpg




obamasmile3.jpg


obama-selfie-pic-5.jpg



Hapa Viongozi mbalimbali wakifurahia kikombe cha kahawa huku wakitabasamu, hakuna kutafakari wala nini, ni full kicheko tu!
article-2521146-1A01A7C000000578-270_964x501.jpg



michelle-obama-selfie--644x362.JPG





16aaab9c249c7b5b_454628259.preview_tall.jpg
Mleta mada ni wachache sana watakaokuelewa,ila upo sahihi kabisa.
 
Lakini hauoni kwamba inaathiri jinsi Dunia inavyotuchukulia? Ni kwamba sisi siyo watu serious na kwamba tunacheza na kufuahia kwenye mazishi? Kesho ukitaka mtu akusikilize halafu akakupuuzia utalalamika amekubagua?
Hivi ni kweli ukichukua video nzima za matukio yote mawili utakuta kwa Mandela ni Full shangwe na kwa Perez ni Full masikitiko? Hizo picha zinaweza kuwa selected kwa sababu maalum tu ya kutengeneza story. Au labda inaweza kuwa kweli kama unavyohisi

Disclaimer: Sijayashuhudia matukio yote hayo mawili in full, so I am not sure if those selected photos are a complete representative of what actually transpired or not. But we've got to think.
 
Ivi Mandela ndio nani, ? Anyway nyie mnaosumbuka na kina Obama wamejaa unafiki tu poleni
 
Kuna nyakati kunakuwa na umakini na kuna wakati watu wanakuwa relaxed. Kwa peres umechukua wakati wa umakini na kwa Mandela umechukua wakati wa relaxed mood the unalinganisha
 
Back
Top Bottom