Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu naangalia mazishi ya mzee Kibaki kule Othaya.
.
Kuna jambo sijaelewa kwenye protocol naona ameanza kuingia Ruto then Raila Odinga then Rais Uhuru Kenyatta.
.
Hii imekaaje kwa nyie wabobezi wa Protocol?
.
Kuna jambo sijaelewa kwenye protocol naona ameanza kuingia Ruto then Raila Odinga then Rais Uhuru Kenyatta.
.
Hii imekaaje kwa nyie wabobezi wa Protocol?