Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Wandugu,
Jamani wadau mliopo huko Shinyanga Mjini mtuhabarishe na ikiwezekana hata ku-post picha za mazishi ya Kamanda Shelembi aliyepokwa ushindi wa Ubunge wa Jombo la Shinyanga Mjini. Kuna ndugu yangu mmoja amenidokeza anasema njia zote hazipitiki huko jinsi watu walivyofurika kuaga mwili wa marehemu kwenye viwanja vya Shycom.
Jamani wadau mliopo huko Shinyanga Mjini mtuhabarishe na ikiwezekana hata ku-post picha za mazishi ya Kamanda Shelembi aliyepokwa ushindi wa Ubunge wa Jombo la Shinyanga Mjini. Kuna ndugu yangu mmoja amenidokeza anasema njia zote hazipitiki huko jinsi watu walivyofurika kuaga mwili wa marehemu kwenye viwanja vya Shycom.