Dr Slaa mkuu wetu nakuona uko active kwenye hii thread..
Tafadhali tuambie mmewaalika hao watu waje kweli?
Just curious to know!
aaaaah mkuu hata sherehe za kitaifa unasahau vp bwana??nilishasahau kuwa tuna sherehe za mapinduzi kesho, kweli mambo huwa yanabadilika.
Imekuwaje mkuu leo na wewe unawaita CCM wasanii, naanza kusikia harufu ya mabadiliko.
Wewe ni nani?paka jimmy signature yako kubwa sana embu ipunguze inanifanya nishindwe jua msg imeishia wapi,ipunguze fanya kama yangu,si unaona ilivyo poa mhh gret thinker
Mkuu inawezekana Mwl wako alipata shida sana akili yako ngumu sana kuelewa.
Unajua tanzania tuna mataifa mengi ndiyo maana hata sherehe zingine tunazisahau.aaaaah mkuu hata sherehe za kitaifa unasahau vp bwana??
kweli mkuu lakini Tanganyika ilishakufa zamani mkuu tumebakiwa na zanzibar na tanzania tuu.Unajua tanzania tuna mataifa mengi ndiyo maana hata sherehe zingine tunazisahau.
Ni kweli mimi huwa mzito sana kuelewa ndiyo maana ilinichukua muda mrefu kukuelewa uko kundi gani wakati wa kampeni za ubunge Arusha, ndiyo maana leo nakushangaa tena uko kundi hili, hebu jikumbushe wakati wa kampeni za ubunge ArushaMkuu inawezekana Mwl wako alipata shida sana akili yako ngumu sana kuelewa.
Kwa taarifa nilizopata ni kuwa raisi jakaya kikwete na waziri mkuu pinda watahudhuria mazishi ya kesho kwenye viwanja vya nmc arusha.na hii imetokana na msukumo wa kimataifa kwani taarifa zinasema kuwa
bbc
dw
aljaazira
cnn
sbc
sky news
na magazeti kibao ya magharibi tayari wako hapa arusha kuonyesha tukio hili katika coverage kubwa kuliko inavyotegemewa
naomba sana wananchi wanademokrasia na mashujaa walioko kokote tanzania wafike kesho na wakazi wa arusha tunawaomba mjitokeze kwa wingi kabisa
Wewe ni nani?
Uko JF Admin-Kitengo cha signature?
Hii ni habari ya uongo wa mchana. Wao wana Mapinduzi yao Zanzibar. Wameshaua inawatosha!!
Wao waende kwenye Mapinduzi ya Zanzibar. Nadhani siku ya Kesho vyombo vya habari hasa vya nje ya chi habari itakayotawala ni ya mazishi ya wapambanaji na sio Mapinduzi ya Zanziba
Kwa taarifa nilizopata ni kuwa raisi jakaya kikwete na waziri mkuu pinda watahudhuria mazishi ya kesho kwenye viwanja vya nmc arusha.na hii imetokana na msukumo wa kimataifa kwani taarifa zinasema kuwa
bbc
dw
aljaazira
cnn
sbc
sky news
na magazeti kibao ya magharibi tayari wako hapa arusha kuonyesha tukio hili katika coverage kubwa kuliko inavyotegemewa
naomba sana wananchi wanademokrasia na mashujaa walioko kokote tanzania wafike kesho na wakazi wa arusha tunawaomba mjitokeze kwa wingi kabisa
Nimekubali, ukifuatilia hiyo link na ukasoma ngongo alivyomlima Lema na kumpamba Batilda hadi kusema "Lema angekuwa na nusu ya uwezo wa Lyimo hakika Mama Batilda angefungasha virago siku nyingi.Mikutano mingi ya Lema imejaa balah blah na pumba nyingi kiasi nashindwa kuamini wapo watu wenye akili nzuri watakao mpigia kura." kuona sasa ngongo anawaita CCM wasanii, ni mabadiliko makubwa sana.Ni kweli mimi huwa mzito sana kuelewa ndiyo maana ilinichukua muda mrefu kukuelewa uko kundi gani wakati wa kampeni za ubunge Arusha, ndiyo maana leo nakushangaa tena uko kundi hili, hebu jikumbushe wakati wa kampeni za ubunge Arusha
https://www.jamiiforums.com/uchaguz...wazi-kwa-batilda-lema-na-lyimo.html?highlight=
Nimekupata mkuu mimi nilitaka kumkumbusha tu Ngongo kuwa watu tuna kumbukumbu.Nimekubali, ukifuatilia hiyo link na ukasoma ngongo alivyomlima Lema na kumpamba Batilda hadi kusema "Lema angekuwa na nusu ya uwezo wa Lyimo hakika Mama Batilda angefungasha virago siku nyingi.Mikutano mingi ya Lema imejaa balah blah na pumba nyingi kiasi nashindwa kuamini wapo watu wenye akili nzuri watakao mpigia kura." kuona sasa ngongo anawaita CCM wasanii, ni mabadiliko makubwa sana.
Nakushukuru Ngongo kwa kuuona ukweli.
Nawewe quinine mtu yeyote mwenye kufikiri sawasawa hawezi (na hapaswi) kuendelea kukaa na fikra potofu, akibadilika tushukuru (tusilaumu) ila tuendelee kumuelimisha asije akapotoka tena.