Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,967
- 12,430
Na hakuna asiejua kuwa siasa za fitna, uong na majungu kutoka Chadema ndio zilizochangia Lowasa kuachwa na chama chake ili kukinusuru chama. Bila siasa za kinafiki na uongo leo hii pengine ndo angekuwa raisi wa awamu ya 5Hii hoja ni dhaifu!!
Hakuna asiyejua ni kwa nini Lowassa alilazimishwa kurudi CCM.
Naona tumbo la uzazi limekuchezaWale Chadema lia lia haya Mwenyekiti Mbowe ametambulishwa kama mzee maarufu na mgeni maalumu wa familia
Credit: TBC
Ni hilo tu
Lucas Mwashamba ametambulishwa kama nani hapo msibani?
Ameteka vijana wengi sana na kuwabatiza makamanda ,embu muone kijana kama mdude na Lema hawa ndio zao la mzee MboweWenzako wanamchukia mbowe kwasababu ya kuhatalisha ugali wao mwenzetu unamchukia mbowe Kwa lipi?
kama wanampenda sana wasingezui yeye kutangazwa akiwa huko chademaNa hakuna asiejua kuwa siasa za fitna, uong na majungu kutoka Chadema ndio zilizochangia Lowasa kuachwa na chama chake ili kukinusuru chama. Bila siasa za kinafiki na uongo leo hii pengine ndo angekuwa raisi wa awamu ya 5
Yuko huku nyuma ya nyumba anamenya vitunguuLucas Mwashamba ametambulishwa kama nani hapo msibani?
Ukijifungua mtoto umuite mboweSubiri tuone kenge wa cdm haswa wale ambao ni msukule wa mzee Mbowe
Ni hilo tu
Maccm yalimdhurumu haki lowasa ndani ya CCM Leo yamejazana monduli yanamaliza ng'ombe wakeSubiri tuone kenge wa cdm haswa wale ambao ni msukule wa mzee Mbowe
Anasaidia wamaasai kushika miguu ya ng'ombe huko wanavyo wachunaLucas Mwashamba ametambulishwa kama nani hapo msibani?
Kubwa la mafisadi Papa kaondoka na huo ndio uzuri wa Mwenyezi Mungu,hata uibe matrion ya fedha tarehe ya kuondoka unaacha vyote.Tutamkumbuka Lowassa kwa kutuletea Richimond na aggreeco mpaka Sasahivi bado wanaendelea kichota fedha za walala hoi,kwa mikataba mibovu walioisaini,ngoja haende kajibu kwa mola wake maana alikataa kutuambia ukweli watanganyika Richimond ilikuwa niyanani kati ya Yeye na Mkwere.Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Zamani wa Monduli (CCM) Hayati Edward Lowassa anazikwa leo Nyumbani kwake, Monduli. Mazishi haya yamehudhuriwa na viongozi wakuu wa Nchi wakiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Siasa isitutenganishe Watanzania katika mambo muhimu,Sisi ni ndugu hata kabla ya siasa za kimaslahi.Wale Chadema lia lia haya Mwenyekiti Mbowe ametambulishwa kama mzee maarufu na mgeni maalumu wa familia
Credit: TBC
Ni hilo tu
Yupo mbozi muda huu anatoa funza miguuniLucas Mwashamba ametambulishwa kama nani hapo msibani?
πππOna akili zako sasa, mambo ya watu ya familia wewe unakimbilia kuja kuanzisha mada. Poor you