paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,504
- 3,500
Tuacheni kuchota mihela yetu kwenda kuwekeza nje,
Nani kakuambia amejenga Lushoto, Ile nyumba ya Lushoto ilikuwa ikulu ndugu ya serikali na Mkapa alipapenda kule.... Unajua Nani alimtafutia pande huko Mkapa ni Brdg H. NgwiliziNdo tabu ya kuoa mmachame. Akamwambia wakajenge Lushoto maana ni barabara hiyo hiyo kwenda Machame. Lushoto Machame vs Lupaso Machame.
Anna Maro ni kiboko.
Mkuu huwezi kumridhisha binadamu hata siku moja. Muhimu fanya yale yanayokuhusu na kukufaidisha wewe tu kama wazungu walivyoamua kuishiMtu akipeleka maendeleo kwao watu wanalalamika
Asipopeleka maendeleo kwao pia watu wanalalamika
Wanadam wanataka nini??????????
Ova
Mkuu tufafanulie kidogo na sisi tujue kwa nini Mkapa alijenga huko LushotoNani kakuambia amejenga Lushoto, Ile nyumba ya Lushoto ilikuwa ikulu ndg ya serikali na Mkapa alipapenda kule.... Unajua Nani alimtafutia pande huko Mkapa ni Brdg H. Ngwilizi
Tembeeni muone mtaelewa na kujifunza mambo mengi
Ova
Kazi kweli kweli!Mkuu huwezi kumridhisha binadamu hata siku moja. Muhimu fanya yale yanayokuhusu na kukufaidisha wewe tu kama wazungu walivyoamua kuishi
Alipendezewa na Hali ya hewa hukoMkuu tufafanulie kdg na ss tujue kwnn mkapa alijenga huko lushoto
Acha uongo. Kule alipanunua na akapajenga ingawa palikuwa pana nyumba. Akapajenga kwa style yeye anataka. Hilo eneo according to yeye ni alinunua kwa watoto walioachiwa urithi na walikuwa na mgogoro.Point here is why akajenge Lushoto na siyo kwao Lupaso ?Mmachame kachangia sana kwa hili.Nani kakuambia amejenga lushoto, Ile nyumb ya lushoto ilikuwa ikulu ndg ya serikali na mkapa alipapenda kule.... Unajua Nani alimtafutia pande huko mkapa ni brdg h. Ngwilizi
Tembeeni muone mtaelewa na kujifunza mambo mengi
Ova
Machame moja huyo. Rombo ni mzazi mwenzake Pesambili.Ni mmachame au mrombo manka?
Una uhakika kama Lupaso hakujenga, subiri muda utaongea ndio utajua kama alijenga au hakujengaAcha uongo. Kule alipanunua na akapajenga ingawa palikuwa pana nyumba. Akapajenga kwa style yeye anataka. Hilo eneo according to yeye ni alinunua kwa watoto walioachiwa urithi na walikuwa na mgogoro.Point here is why akajenge Lushoto na siyo kwao Lupaso ?Mmachame kachangia sana kwa hili.
Chuttle Stadium.Chuttle tayari kuna
Lani
Traffic lights
3 ★ hotel
Airport
Bank
Mbuga ya wanyama
Fire
Nknk
Jr
Bora upeleke maendeleo kwenu.Maana hata wanaolalamika siku ukifa itakuwa rahisi kwenda kukuzika au kutembelea kaburi lako. Pia itakuwa alama kubwa kwa wanakijiji wenzako watakushukuru kwa kuwaletea maendeleo.Mtu akipeleka maendeleo kwao watu wanalalamika
Asipopeleka maendeleo kwao pia watu wanalalamika
Wanadam wanataka nini??????????
Ova
Ila wakati mwingine wanawake hulaumiwa sana hata kama makosa si ya mke, kuna wanaume wengine huwa hawashauliki anafanya yeye kama yeye au mke unapewa taarifa tu, lakini watu wa nje mzigo wanamwangushia mke, kwani kabla hajawa rais si walikuwa wametengana kwanini napo hakujenga kwao?Acha uongo. Kule alipanunua na akapajenga ingawa palikuwa pana nyumba. Akapajenga kwa style yeye anataka. Hilo eneo according to yeye ni alinunua kwa watoto walioachiwa urithi na walikuwa na mgogoro.Point here is why akajenge Lushoto na siyo kwao Lupaso ?Mmachame kachangia sana kwa hili.
Chuttle tayari kuna
Lani
Traffic lights
3 ★ hotel
Airport
Bank
Mbuga ya wanyama
Fire
Nknk
Jr
Kuhusu Kupeleka maendeleo kwenu ni hiyari ya mtuBora upeleke maendeleo kwenu.Maana hata wanaolalamika siku ukifa itakuwa rahisi kwenda kukuzika au kutembelea kaburi lako. Pia itakuwa alama kubwa kwa wanakijiji wenzako watakushukuru kwa kuwaletea maendeleo.
Umeshasema alikuwa bado hajawa Rais. Pia hujiulizi why Anna alisepa ila baada ya mmewe kuwa Rais akakubali kurudi ?Ila wakati mwingine wanawake hulaumiwa sana hata kama makosa si ya mke, kuna wanaume wengine huwa hawaamniliki anafanya yeye kama yeye au mke unapewa taarifa tu, lakini watu wa nje mzigo wanamwangushia mke, kwani kabla hajawa rais si walikuwa wametengana kwanini napo hakujenga kwao?