Issue sio chamoto br isue ni title
<br />[quote name="lolowapi" post=10593427]Myweather ameshinda ila cha moto kakiona.
Karibu Mkuu, ndio utamu wa JF inakuweka up to date na mambo mbali mbali yanayotokea katika kila pembe ya dunia ikiwemo michezo.
Karibu Mkuu, ndio utamu wa JF inakuweka up to date na mambo mbali mbali yanayotokea katika kila pembe ya dunia ikiwemo michezo.
[/QUOTE]Ndio hapo pamoja na our favourite moneyweather kubakisha mapambano mawili, anaweza asimalize kwa historia. Pambano la leo lilikuwa gumu kwake. Next time atadundwa asipokuwa muangalifu.
Na majigambo yake kama ana undugu na mutashobya, mweeh<br />
<br />
Labda kwa kung'wata kidole. Jamaa kachukua mpunga wake wa dola milioni thelathini takribani bilioni arobaini na sita kwa fedha za kitanzania kiulaini. <br />
<br />
Kabakisha mapambano mawili kwenye mkataba wake kabla ya kustaafu, kuna uwezakano kabisa yakawa mapambano mawili ambayo dunia nzima inasubiria na kale 'kabushuti' ambaye naye anataka kustaafu ngumi akawe mkuu wa nchi yake. Inasemekana Moneywether 'TBE' atalamba mpunga wa dola milioni 130 !
Kwa hiyo unataka kuniambia Pack man ni cha mtoto kwa maidana?my views........pacman cant stand to maidana............then kwa money maker floyd sidhani.....labda mim cjui ngumi aiseeh.......coz niliona pambano la pacman last year alivyodundwa mpaka kapasuliwa na jamaa gan yule nimemsahau......so pacman simpatii credit kwa yeyote kati ya hao wawili hapo juu
standing to be corrected
https://www.youtube.com/watch?v=g48RKJtpHPUnapata wapi highlights za huu mtanange?
Kwa hiyo unataka kuniambia Pack man ni cha mtoto kwa maidana?
Hapo utakuwa umechemsha, Packman ni noma kwenye uzito huu. Ila Money man ni habari nyingine
its gonna be the biggest payday in the history of sports
with mayweather defence and pacman speed.. its gonna be Armageddon!!
wanasema it could be up to 300M dollars match up
cant wait:A S-eek:
its gonna be the biggest payday in the history of sports
with mayweather defence and pacman speed.. its gonna be Armageddon!!
wanasema it could be up to 300M dollars match up
cant wait:A S-eek:
Hii ya leo Maidana angeshinda sema tu haikuwa bahati yake.
mayweather should dtop chickening out and fight pacman