Ahahahahah...Rangi rangi za ushoga!!!Mwanaume unachukia mafaniko ya mwanaume mwenzio?
Zile rangi rangi za upinde zinakuhusu wewe.
Unateseka na nini?Mzuqa!
Wanoko wamethibitisha Floyd Mayweather hana lolote. Kumbe yale magari, saa za kifahari na pesa anazotutishia Instagram sana sana siyo zake makampuni yanampa aweze kuwapa promo na kuwatangazia biashara. Yani watu sasa hivi tumepata amani mioyo yetu imeanza kutulia.
Pia Wanoko wanaamini Diamond naye ni mbwembwe tu ni kama floyd mayweather tu ila bado haijathibitishwa tunafuatilia na tunaomba tu iwe hivyo.
Millard Ayo naye Wanoko wanadai anashuka kwa kasi hayupo kama zamani.
Lazima wote tuwe sawa tu tukilala tuwe na amani na faraja
Huo muda unaopoteza, unakutosha na wewe kutafuta hayo makampuni wakupe na wewe promo.Mzuqa!
Wanoko wamethibitisha Floyd Mayweather hana lolote. Kumbe yale magari, saa za kifahari na pesa anazotutishia Instagram sana sana siyo zake makampuni yanampa aweze kuwapa promo na kuwatangazia biashara. Yani watu sasa hivi tumepata amani mioyo yetu imeanza kutulia.
Pia Wanoko wanaamini Diamond naye ni mbwembwe tu ni kama floyd mayweather tu ila bado haijathibitishwa tunafuatilia na tunaomba tu iwe hivyo.
Millard Ayo naye Wanoko wanadai anashuka kwa kasi hayupo kama zamani.
Lazima wote tuwe sawa tu tukilala tuwe na amani na faraja
Vivu mbaya, Vivu ni ugonjwa, pambana na hali yako, acha kuchunguza kwa ubaya wale waliofanikiwaMzuqa!
Wanoko wamethibitisha Floyd Mayweather hana lolote. Kumbe yale magari, saa za kifahari na pesa anazotutishia Instagram sana sana siyo zake makampuni yanampa aweze kuwapa promo na kuwatangazia biashara. Yani watu sasa hivi tumepata amani mioyo yetu imeanza kutulia.
Pia Wanoko wanaamini Diamond naye ni mbwembwe tu ni kama floyd mayweather tu ila bado haijathibitishwa tunafuatilia na tunaomba tu iwe hivyo.
Millard Ayo naye Wanoko wanadai anashuka kwa kasi hayupo kama zamani.
Lazima wote tuwe sawa tu tukilala tuwe na amani na faraja