Mayweather na Diamond hamna lolote

Mayweather na Diamond hamna lolote

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
9,251
Reaction score
20,478
Mzuqa!

Wanoko wamethibitisha Floyd Mayweather hana lolote. Kumbe yale magari, saa za kifahari na pesa anazotutishia Instagram sana sana siyo zake makampuni yanampa aweze kuwapa promo na kuwatangazia biashara. Yani watu sasa hivi tumepata amani mioyo yetu imeanza kutulia.

Pia Wanoko wanaamini Diamond naye ni mbwembwe tu ni kama floyd mayweather tu ila bado haijathibitishwa tunafuatilia na tunaomba tu iwe hivyo.

Millard Ayo naye Wanoko wanadai anashuka kwa kasi hayupo kama zamani.

Lazima wote tuwe sawa tu tukilala tuwe na amani na faraja
 
Fanya kazi wewe 'Kifutu' acha porojo.
huyu au
IMG_20190511_231727.jpg
 
Mwanaume unachukia mafaniko ya mwanaume mwenzio?

Zile rangi rangi za upinde zinakuhusu wewe.
 
Mzuqa!

Wanoko wamethibitisha Floyd Mayweather hana lolote. Kumbe yale magari, saa za kifahari na pesa anazotutishia Instagram sana sana siyo zake makampuni yanampa aweze kuwapa promo na kuwatangazia biashara. Yani watu sasa hivi tumepata amani mioyo yetu imeanza kutulia.

Pia Wanoko wanaamini Diamond naye ni mbwembwe tu ni kama floyd mayweather tu ila bado haijathibitishwa tunafuatilia na tunaomba tu iwe hivyo.

Millard Ayo naye Wanoko wanadai anashuka kwa kasi hayupo kama zamani.

Lazima wote tuwe sawa tu tukilala tuwe na amani na faraja
Ni wivu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom