Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa wanachenchi zinakuwa dola moja moja na denomination nyengine ndogondogo 2s and 5s,Hivi hizo hela wanazorushaga kwa strippers huwa ni hela kweli?
Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
Hivi unajua million dollars zinafananaje?
Hahaha... Eti kama mgeniHuyu Mayweather si alistaafu huyu?
Au ndiyo kama wale wageni wanaaga kwa haraka, lakini akisikia harufu ya chakula kinapikwa anaahirisha ahirisha kwanza mpaka ale?
Hiyo free mason ulivyoiandika sasa
Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
amefulia ndio maana amerudi ulingoniHahaha... Eti kama mgeni
Mkuu Hii game mimi nna Mashaka tayari iko fixed.
Huyu jamaa mayweather hata kabla hajastaafu ilikuwa ni vigumu sana kumshawishi hadi apigane na mtu wa caliber ya Conor, lakini Leo hii ameshastaafu kabisa halafu eti ghafla tu ameamua kurudi ulingoni!? Hapana hapo tayari mshindi anajulikana.
Inawezekana na pia hili pambano atakuwa ameaandaa yeyeamefulia ndio maana amerudi ulingoni
Hivi hizo hela wanazorushaga kwa strippers huwa ni hela kweli?
Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app