Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,628
Sikuwa naumiza akili zangu kuhusiana na ubaguzi wa ngozi kwani sikuona umuhimu wowote na faida yeyote. Kuna pambano la ngumi litafanyika August 26 kati ya mwana masumbwi kijana Mayweather na Conor McGregor. Wameanza kulitangaza onyesho hilo kwa ubunifu na maandalizi ambao kwa kweli wezetu wako juu sana. Matangazo yao ni live wakiambatana na wanamasumbwi hao pamoja na timu zao. Walianzia Las Vegas na ukweli hapakuwa na ubaguzi wowote (Hongera USA). Jana walikuwa London na hapo ndipo nilishuhudia kila ishara za ubaguzi toka kwa kadamnasi huku Mayweather akiwa amempa nafasi kubwa McGregor kuongea bila kuingilia hadi alipomaliza. Si hivyo tu McGregor alitumia lugha za kukashifu Uafrika (rangi nyeusi) huku akishangiliwa kama vile anafanya jambo sahihi. Nilikuwa Team Manpac sasa nahamia kwa black mwezangu Mayweather.
NB; Mugabe usilegeze kamba.
Sukumaland
NB; Mugabe usilegeze kamba.
Sukumaland