Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,988
- 69,380
Jeuri ya pesa
Unamsemea Prof Ibrahim Lipumba kujiuzulu mwenyekiti wa CUF?Huyu jamaa si alisha staafu??
Mwambie nani wake akalilie shida kwa myweatheramefulia ndio maana amerudi ulingoni
$1,000,000/$100note=10,000notes.Hivi unajua million dollars zinafananaje?
Sent from my Mi Max using JamiiForums mobile app
SI 2Bil dogo,Ni $1m.Acha kufananisha 2B na $1m..hapo ni sawa na kufananisha kifo na usingizi.1m si mchezo mleta mada ata kama kafanya huo upuuz ila hazfk 1m...unajua TSH Bilion 2..????
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nmemjbu mleta mada kua hyo ela haiwez kua 1m $ nmejarbu kupga kwa bei rahs ya TSh 2000 per 1$ badala ya 2300 per $SI 2Bil dogo,Ni $1m.Acha kufananisha 2B na $1m..hapo ni sawa na kufananisha kifo na usingizi.