Mayalla: Walinilazimisha kukiri kosa

Mayalla: Walinilazimisha kukiri kosa

Yaani tunakoelekea sasa bado kidogo tutapangiwa hata muda na namna ya kujiposition tuwapo maliwatoni.

Nchi ya kipuuzi sana hii.
 
Yaani tunakoelekea sasa bado kidogo tutapangiwa hata muda na namna ya kujiposition tuwapo maliwatoni.

Nchi ya kipuuzi sana hii.
Kilichobaki sasa ni kupangiwa muda wa kulala na wake zetu pamoja na kupewa maelekezo ya staili za kudinyana.
 
Katika video inayozunguka kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, inamuonyesha mwandishi wa habari nguli ambaye pia ni mwanasheria na mwanaJF ndugu Pascal Mayalla , akidai kuwa alilazimishwa kukiri kosa alipoitwa na JAB kujitetea kwanini ametoa maoni yasiyopendwa na utawala kuhusu tukio moja la kisiasa lililotokea hivi karibuni.

View attachment 3552709

Katika video hiyo, ambayo Mayalla ameonekana amevaa miwani myeusi huku akihojiwa na mwandishi nguli wa DW, Sudi Mnede, ameonekana wazi kukerwa na wito alioitwa na mamlaka kujitetea kwanini ametoa maoni ya kuudhi watawala. Ukimwangalia usoni na jinsi anavyojibu utaona wazi kuwa hakupendezwa na kitendo cha kulazimishwa kukiri kosa kinyume cha sheria.
Soma
Kufuatia kukamiwa kwa jukwaa la JF na utawala, nimeshindwa kuambatanisha video hiyo kwani kila nikiweka inagoma kupakilika. Tafadhali kama kuna mods au mtu yeyote anayeweza kunisaidia kuweka video hiyo nitashukuru sana.

Nawasilisha.
Nchi ya kifalme ujinga mtupu
 
Kwani hiyo video sio yake mkuu? Hayo aliyoongea hapo ndiyo majibu sahihi. Alilazimishwa kukiri kosa na utawala wa kidikteta wa Samuya.
video ni ya kwake na maelezo ni ya kwake ndio maana nasema undani wa kila kitu yeye ndio anajua.
Na ukimsikia na kumuelewa tayari unajua ukweli ni upi
 
Back
Top Bottom