Mayalla: Walinilazimisha kukiri kosa

Mayalla: Walinilazimisha kukiri kosa

Nilikuwa najaribu kuunganisha dots, japo naweza kuwa nimekosea. Pascal Mayalla alikuwa team Lowassa. Na Nchimbi alikuwa team Lowassa. Na sasa kuna mvutano wa chini kwa chini kati ya Mwingulu na Nchimbi. Je Mayalla anamsaidia Nchimbi, waliokuwa wote team Lowassa?
Hili tumsubiri mwenye mzee wa watu Pascal Mayalla. Lakini pia tuendelee kumuombea. Mtu hajawahi kuikosoa CCM akabaki salama. Tuombe sana yaliyowakuta akina Ben Saanane, Mdude, na Polepole yasimpate mzee wetu; bado watoto na wajukuu zake wanamhitaji.
 
Back
Top Bottom