tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,985
- 25,378
- Thread starter
- #41
Bodi imejaa machawa watupu!Tuwafahamu wajumbe wa Bodi hii; WMTH | Habari
Bodi imejaa machawa watupu!Tuwafahamu wajumbe wa Bodi hii; WMTH | Habari
Huyu Pasco wakati Tundu Lisu na Cdm wanahamasisha NRNE ili kuhakikisha wahuni hawarudi madarakani, ndio alikuwa anabeza kuwa cdm na Tundu Lisu hawana siasa za kistaarabu. Sasa wahuni wamemfikia anaanza kujiliza. Asuburi kwanza afanyiwe uhuni ili atapike vijisent walivyopewa kutetea serekali ya wahuni.Mkuu tumuombee mwanaJF mwenzetu hicho kikombe kimpite.
Lazima akapige magoti off record ili wamsamehe na kumpa makombo.Si chawa huyu jamaa, imekuwaje tena? Sidhani kama mwaka huu atapata dili ya Saba Saba.
Mkuu we acha tu ,ila Mungu yupo kaziniMzee kapigwa pin na wakoloni weusi kama walivyompiga Nyerere wakati anapigania uhuru lakini baada ya kuondoka duniani nchi imegeuzwa kuwa koloni. Hutakiwa kuwahoji wala kuwakosoa. Ukijaribu unapotezwa.
SomehowHivi ni kwanini TANU (na baadaye CCM) waliwaondoa wakoloni weupe kutoka nchi hii? Ni afadhali hata wakoloni wangekuwepo hadi leo nchi hii ingekuwa na maendeleo makubwa sana na kusingekuwa na uonevu.
Pascal ni mmoja wao hawezi kupotezwa kamwe.Ashukuru Mungu hajapotezwa na wasiojulikana. Sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine.
Ni suala la muda tu, hawaaminiki waleAshukuru Mungu hajapotezwa na wasiojulikana. Sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine.
Mgalatia mpuuzi kuwahi kutokea acha yamkuteJamani tumtetee mwanaJF mwenzetu. Hata kama ni chawa lakini sasa atakuwa amepata fundisho.
Muda wao unakaribia mwisho. Wamebaki peke yao na familia zao tu kuwasapot.Wanatamani kuwageuza watanzania wote kuwa misukule yao.
Nilikuwa najaribu kuunganisha dots, japo naweza kuwa nimekosea. Pascal Mayalla alikuwa team Lowassa. Na Nchimbi alikuwa team Lowassa. Na sasa kuna mvutano wa chini kwa chini kati ya Mwingulu na Nchimbi. Je Mayalla anamsaidia Nchimbi, waliokuwa wote team Lowassa?Si chawa huyu jamaa, imekuwaje tena? Sidhani kama mwaka huu atapata dili ya Saba Saba.
Pitia post zangu zilizopita ninazikujibu wewe. Nilikuambia Zamani. Naona hivi sasa unatafuta huduma. Ulichokitowa wewe siyo maoni bali ni deformation . Na usijifiche Kwenye kichakancha kutoa maoni. Just thinitisha Tu kama waziri mkuu alichukia. Sasa hapo umeonewa? Nikasema MTU Fulani ni msenge Kwenye media hayo yanakiwa maoni!Katika video inayozunguka kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, inamuonyesha mwandishi wa habari nguli ambaye pia ni mwanasheria na mwanaJF ndugu Pascal Mayalla , akidai kuwa alilazimishwa kukiri kosa alipoitwa na JAB kujitetea kwanini ametoa maoni yasiyopendwa na utawala kuhusu tukio moja la kisiasa lililotokea hivi karibuni.
View attachment 3552709
Katika video hiyo, ambayo Mayalla ameonekana amevaa miwani myeusi huku akihojiwa na mwandishi nguli wa DW, Sudi Mnede, ameonekana wazi kukerwa na wito alioitwa na mamlaka kujitetea kwanini ametoa maoni ya kuudhi watawala. Ukimwangalia usoni na jinsi anavyojibu utaona wazi kuwa hakupendezwa na kitendo cha kulazimishwa kukiri kosa kinyume cha sheria.
Soma
Kufuatia kukamiwa kwa jukwaa la JF na utawala, nimeshindwa kuambatanisha video hiyo kwani kila nikiweka inagoma kupakilika. Tafadhali kama kuna mods au mtu yeyote anayeweza kunisaidia kuweka video hiyo nitashukuru sana.
Nawasilisha.