chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,871
Watu wengine wana nukuu bila ya kujua where Quatation was originated from.. 😊kwahiyo Paskali hiyo quote ni yako siyo?
Watu wengine wana nukuu bila ya kujua where Quatation was originated from.. 😊kwahiyo Paskali hiyo quote ni yako siyo?
Bashiru Ally na Humphrey Polepole walipata nyadhifa walizonazo bila kulamba viatu. Simama kama wewe usibadilike kuwa vuguvugu watakuona tu.Kwanza pole, pili
Asante nitauzingatia ushauri wako, maneno engine na mimi lazima nitafute kamusi, yaani "Pasco wa jf amekuwa too subservient and submissive kwa kubend this much low!", kisa ni bandiko hili
P.Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
Wacha kujidhalilisha wewe njaa (mayalla)Mkuu Mbase, with due respect, Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas.
Mtu kuwa presidential material ni possession of presidential virtues, ukiisha kuwa, you are!.
Hivyo bandiko hili
bado liko validBaada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
P
Mkuu Mayalla sidhani kama First Lady Eleanor Roosevelt alimaanisha kama ulivyoijibu hoja yangu. Kuna kitu watu walimjadili Donald Trump if he possesses Temperament to be president sasa kaingia mwaka wa tatu tunashuhudia vioja vingi. Kwa mantiki yako waliojadili kuhusu temperament ya Trump walikua ni ordinary mind.
Leta hoja za maana mkuu siyo ku miss use quote ya first Lady
Sasa mtu kama wew priz team nani anakuchulia seriouslyHalafu na hili la kuwa tunashinda jukwaani kuwajadili viongozi ni mapungufu ya kimaadili na ni utovu wa adabu kiwango cha dreamliner!
Kila binadamu ana mapungufu yake, ndiyo maana aliyemteua anaona anafaa kuendelea kuhudumu katika nafasi hiyo.
Ndiyo maana wengine tuliochoshwa na mada za hivi, tulishaweka jibu la jumlajumla kwamba, kila anayeleta mada za kinyume nyume kama hii, basi ni muathirika wa biashara haramu zilizoanzishiwa vita na Paulo ama mtu huyo ni kandarasi kanjanja wanaorukishwa kichurachura kama wagambo kwa kushindwa kwao kuwajibika ama waliozoea kujipatia vipato vya 'mission town', ambavyo sasa hivi vimebhuma.
Ndugu,hivi hii "Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas" ni CETERIS PERIBUS au kuna variables?Mkuu Mbase, with due respect, Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas.
Mtu kuwa presidential material ni possession of presidential virtues, ukiisha kuwa, you are!.
Hivyo bandiko hili
bado liko validBaada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
P
Ngoja nianze kwanza na dikishenari kutafuta nenoNdugu,hivi hii "Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas" ni CETERIS PERIBUS au kuna variables?
Yes ni ceteris peribus ila pia kuna variable ya mutatis mutandis.Ndugu,hivi hii "Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas" ni CETERIS PERIBUS au kuna variables?
Nipo 100% Mayalla alijua wapi ilikotika labda kapitiwa tu. Na nimemshangaa kuniambia nilimuuliza huyu mama alikufa mwaka 1962 miaka mitatu kabla sijazaliwa. Lengo lake lilikua kuniweka chini lakini bahati mbaya huyo mwanzilishi wa hii quote nimemfuatilia sana sababu alikua na kipindi cha TV kule kwao na alifanya mahojiano na Mwl baada ya TANU kupata viti vingi na hivyo Mwl kuwa kiongozi mtarajiwa. Mimi muumini wa show yake iliitwa Prospects of Mankind" television show . Aliirekodi Mwezi March Mwaka 1960. Nyerere akitegemewa kuwa Waziri Mkuu. Conversation with Eleanor RooseveltWatu wengine wana nukuu bila ya kujua where Quatation was originated from.. 😊
Ndugu,kama ni hivyo basi nashahuri tukubaliane kukubaliana kwamba "anima sana incorpore sano".Yes ni ceteris peribus ila pia kuna variable ya mutatis mutandis.
P
Narudi tena kwenye dikishenari ndipo nirejee.Ndugu,kama ni hivyo basi nashahuri tukubaliane kukubaliana kwamba "anima sana incorpore sano".
Sasa anko mayalla wewe kuzungumzia makonda Rais si no simple mind discuss peopleMkuu Mbase, with due respect, Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas.
Mtu kuwa presidential material ni possession of presidential virtues, ukiisha kuwa, you are!.
Hivyo bandiko hili
bado liko validBaada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
P
Sisi binadamu ni watu wa ajabu sana, huwezi amini kuna watu hawamjui Obama ni rais wa wapi, itakuwa fasti ledi?. Kipindi cha Mkapa nilipita mahali very remotely, wanajua Nyerere bado ni rais!. Asante kwa taarifa hii, please share.Nipo 100% Mayalla alijua wapi ilikotika labda kapitiwa tu. Na nimemshangaa kuniambia nilimuuliza huyu mama alikufa mwaka 1962 miaka mitatu kabla sijazaliwa. Lengo lake lilikua kuniweka chini lakini bahati mbaya huyo mwanzilishi wa hii quote nimemfuatilia sana sababu alikua na kipindi cha TV kule kwao na alifanya mahojiano na Mwl baada ya TANU kupata viti vingi na hivyo Mwl kuwa kiongozi mtarajiwa. Mimi muumini wa show yake iliitwa Prospects of Mankind" television show . Aliirekodi Mwezi March Mwaka 1960. Nyerere akitegemewa kuwa Waziri Mkuu. Conversation with Eleanor Roosevelt
Jamani tufike mahali, tuelezwe bayana ubaya wa huyu kiongozi.Sasa mtu kama wew priz team nani anakuchulia seriously
Mr njaa njaa habari yakoMkuu Mbase, with due respect, Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas.
Mtu kuwa presidential material ni possession of presidential virtues, ukiisha kuwa, you are!.
Hivyo bandiko hili
bado liko validBaada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
P
Hiyo clip kuna jamaa kanitumia kwenye WhatsApp..,Nipo 100% Mayalla alijua wapi ilikotika labda kapitiwa tu. Na nimemshangaa kuniambia nilimuuliza huyu mama alikufa mwaka 1962 miaka mitatu kabla sijazaliwa. Lengo lake lilikua kuniweka chini lakini bahati mbaya huyo mwanzilishi wa hii quote nimemfuatilia sana sababu alikua na kipindi cha TV kule kwao na alifanya mahojiano na Mwl baada ya TANU kupata viti vingi na hivyo Mwl kuwa kiongozi mtarajiwa. Mimi muumini wa show yake iliitwa Prospects of Mankind" television show . Aliirekodi Mwezi March Mwaka 1960. Nyerere akitegemewa kuwa Waziri Mkuu. Conversation with Eleanor Roosevelt