Mayalla Paschal bado unaamini kuwa Paulo Makonda bado ni Presidential material?

Mbase1970

JF-Expert Member
Jun 11, 2015
6,053
4,595
Nitangulize kwa kusema kuna baadhi ya mambo ayafanyayo huyu kiumbe anayeitwa Paulo Makonda ana mikono michafu a.k.a Bashite nakubaliana nayo. Baadhi ni vita dhidi ya mihadarati na kusaidia vijana wasiojiweza na baadhi ya maamuzi ya kuwasaidia wenye umasikini.

Huko nyuma kuna thread iliyoletwa na mwanahabari na Broadcaster Nguli Ndugu yangu Paskali Njaa Mayalla kuhusu huyu msukuma mwenzake Paulo ana mikono michafu Makonda.

Kwa sasa ni miaka minne imepita na ameshaleta vituko vingi zaidi katika serikali ya msukuma mwenzake Pombe. Msumari wa mwisho ni hili suala la Idrisa Sultan. Wengine tunashindwa hata kujua ni kipengele gani watakitumia kumfanya atiwe hatiani. Wanasheria wa jamvini kama kina mtani wangu Petro E. Mselewa na wenzake watusaidie.

Swali kwako Mayalla, je Makonda bado ni Presidential Material?
 
Huko nyuma kuna thread iliyoletwa na mwanahabari na Broadcaster Nguli Ndugu yangu Paskali Mayalla kuhusu huyu msukuma mwenzake Paulo Makonda.

Swali kwako Mayalla je Makonda bado ni Presidential Material?
Mkuu Mbase, with due respect, Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas.
Mtu kuwa presidential material ni possession of presidential virtues, ukiisha kuwa, you are!.

Hivyo bandiko hili Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
bado liko valid

P
 
Mkuu Mbase, with due respect, Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas.
Mtu kuwa presidential material ni possession of presidential virtues, ukiisha kuwa, you are!.

P
Mkuu Mayalla sidhani kama First Lady Eleanor Roosevelt alimaanisha kama ulivyoijibu hoja yangu. Kuna kitu watu walimjadili Donald Trump if he possesses Temperament to be president sasa kaingia mwaka wa tatu tunashuhudia vioja vingi. Kwa mantiki yako waliojadili kuhusu temperament ya Trump walikua ni ordinary mind.

Leta hoja za maana mkuu siyo ku miss use quote ya first Lady
 
Halafu na hili la kuwa tunashinda jukwaani kuwajadili viongozi ni mapungufu ya kimaadili na ni utovu wa adabu kiwango cha dreamliner!

Kila binadamu ana mapungufu yake, ndiyo maana aliyemteua anaona anafaa kuendelea kuhudumu katika nafasi hiyo.

Ndiyo maana wengine tuliochoshwa na mada za hivi, tulishaweka jibu la jumlajumla kwamba, kila anayeleta mada za kinyume nyume kama hii, basi ni muathirika wa biashara haramu zilizoanzishiwa vita na Paulo ama mtu huyo ni kandarasi kanjanja wanaorukishwa kichurachura kama wagambo kwa kushindwa kwao kuwajibika ama waliozoea kujipatia vipato vya 'mission town', ambavyo sasa hivi vimebhuma.
 
Ha ha ha tumejifunza kitu huyu awe Msukuma wa mwisho kumpatia madaraka. Kuna usemi unaosema Mgema akisifiwa tembo hulitia maji na ndicho anachokifanya huyu msukuma wa chato na yule wa bashite. Ila tukubali 80% atatusaidia
Mkuu nakuheshimu sana, ila kwa hii ya kuleta kabila la mtu kwenye siasa umekosea sana,
Tunaweza kumkosoa mtu bila kuweka kabila lake, kuepuka kuchochea moto siasa za ukabila
 
Mkuu Mayalla sidhani kama First Lady Eleanor Roosevelt alimaanisha kama ulivyoijibu hoja yangu. Kuna kitu watu walimjadili Donald Trump if he possesses Temperament to be president sasa kaingia mwaka wa tatu tunashuhudia vioja vingi. Kwa mantiki yako waliojadili kuhusu temperament ya Trump walikua ni ordinary mind.

Leta hoja za maana mkuu siyo ku miss use quote ya first Lady
Unaweza usiamini hata kujua huyu First Lady Eleanor Roosevelt, simjui!, kumbe na yeye ulimuuliza swali kama hili akajibu hoja yako, tusaidie kutufahamisha ulimuuliza nini akajibuje ili na akina sisi tuanze kujibu kama First Lady Eleanor Roosevelt.

Possession ni kitu mtu anacho acquire, akiisha kuwa nacho anacho.
P
 
Unaweza usiamini hata kujua huyu First Lady Eleanor Roosevelt, simjui!, kumbe na yeye ulimuuliza swali kama hili akajibu hoja yako, tusaidie kutufahamisha ulimuuliza nini akajibuje ili na akina sisi tuanze kujibu kama First Lady Eleanor Roosevelt.

Possession ni kitu mtu anacho acquire, akiisha kuwa nacho anacho.
P
kwahiyo Paskali hiyo quote ni yako siyo?
 
Mkuu Mayalla sidhani kama First Lady Eleanor Roosevelt alimaanisha kama ulivyoijibu hoja yangu. Kuna kitu watu walimjadili Donald Trump if he possesses Temperament to be president sasa kaingia mwaka wa tatu tunashuhudia vioja vingi. Kwa mantiki yako waliojadili kuhusu temperament ya Trump walikua ni ordinary mind.

Leta hoja za maana mkuu siyo ku miss use quote ya first Lady
Wakati wewe ukiwishi awe wa mwisho, kuna makumi, mamia, maelfu na makumi elfu wanaotaka ule ukomo uondolewe, ili aendelee indefinitely.

Na kwasababu watu wa makabila tofauti wana different performances, watu tumeisha anza kutoa ushauri Kiukweli nimeguswa sana na uchapakazi wa Rais Magufuli!. Je, kuna uhusiano kati ya kabila la mtu, na uchapakazi wake?. Je, 2020 kuna haja ya...
P
 
Halafu na hili la kuwa tunashinda jukwaani kuwajadili viongozi ni mapungufu ya kimaadili na ni utovu wa adabu kiwango cha dreamliner!

Kila binadamu ana mapungufu yake, ndiyo maana aliyemteua anaona anafaa kuendelea kuhudumu katika nafasi hiyo.

Ndiyo maana wengine tuliochoshwa na mada za hivi, tulishaweka jibu la jumlajumla kwamba, kila anayeleta mada za kinyume nyume kama hii, basi ni muathirika wa biashara haramu zilizoanzishiwa vita na Paulo ama mtu huyo ni kandarasi kanjanja wanaorukishwa kichurachura kama wagambo kwa kushindwa kwao kuwajibika ama waliozoea kujipatia vipato vya 'mission town', ambavyo sasa hivi vimebhuma.
Kwa bahati mbaya sana mimi siyo muathirika. Halafu huwa nasema ukweli pale ninapoona kuna haja kuunga mkono. Ila nisichoweza ni kuwa mtoa sifa kila kukicha hata kama katiba inakanyagwa. Msilete upuuzi wa Republican wa kila ukweli ukisemwa wanadai ni fake news. Mayalla anajua kabisa kuna mada nyingi sana ninamsifu pale ninapoona anahitaji sifa.

Swali langu ambalo Mayalla analikwepa ni tu kunijibu kama bado anadhani Paulo Makonda ni Presidential Material na si zaidi. Yeye najua ni mwanahabari na mwanasheria hivyo anatumia fani yake kukwepa swali langu na kuleta mambo ambayo sijamuuliza.

Kiongozi kama rais anatakiwa kupimwa kwa mengi ndiyo maana niliacha kumuuliza miaka miwili iliyopita sababu nilitaka kumpatia muda labda Mkuu wa mkoa atabadilika lakini sijaona mabadiliko yeyote ndiyo maana nikaamua leo kumuuliza Mayalla kama bado anaamini alichokiandika huko nyuma. Nilitegemea kuona akisema kama bado anasimamia kile alichokisema huko nyuma.
 
Wakati wewe ukiwishi awe wa mwisho, kuna makumi, mamia, maelfu na makumi elfu wanaotaka ule ukomo uondolewe, ili aendelee indefinitely.

Na kwasababu watu wa makabila tofauti wana different performances, watu tumeisha anza kutoa ushauri

P
Mkuu mimi nimeandika mengi sana kuhusu Rais magufuli na unalijua hili nimekua mtetzi wake mkubwa pale ninapoona kuna haja na ukweli kumtetea lakini pale anapovunja katiba siwezi kumtetea. Halafu hii thread haimhusu Rais bali ni mteule wake
sifa nyingine hii niliweka extract kutoka nipashe
 
Nitangulize kwa kusema kuna baadhi ya mambo ayafanyayo huyu kiumbe anayeitwa Paulo Makonda ana mikono michafu a.k.a Bashite nakubaliana nayo. Baadhi ni vita dhidi ya mihadarati na kusaidia vijana wasiojiweza na baadhi ya maamuzi ya kuwasaidia wenye umasikini.

Huko nyuma kuna thread iliyoletwa na mwanahabari na Broadcaster Nguli Ndugu yangu Paskali Njaa Mayalla kuhusu huyu msukuma mwenzake Paulo ana mikono michafu Makonda.

Kwa sasa ni miaka minne imepita na ameshaleta vituko vingi zaidi katika serikali ya msukuma mwenzake Pombe. Msumari wa mwisho ni hili suala la Idrisa Sultan. Wengine tunashindwa hata kujua ni kipengele gani watakitumia kumfanya atiwe hatiani. Wanasheria wa jamvini kama kina mtani wangu Petro E. Mselewa na wenzake watusaidie.

Swali kwako Mayalla, je Makonda bado ni Presidential Material?
we bado huoni kosa LA idriss? Kasikilize maelezo ya wakili wake utaelewa
 
Mkuu Mbase, with due respect, Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas.
Mtu kuwa presidential material ni possession of presidential virtues, ukiisha kuwa, you are!.

Hivyo bandiko hili
bado liko valid

P
jibu tamu hili
 
Wakati wewe ukiwishi awe wa mwisho, kuna makumi, mamia, maelfu na makumi elfu wanaotaka ule ukomo uondolewe, ili aendelee indefinitely.

Na kwasababu watu wa makabila tofauti wana different performances, watu tumeisha anza kutoa ushauri

P
Unapokuwa too subservient and submissive namna hii unakosea. Hata wanaotoa vyeo wanakudharau, be real, be yourself watakuona. Mbona Kitila Mkumbo na Julius Mtatiro hawakubend this much low?

Yaani na akilili zako zote tunazokujua leo una diriki kumuona Bashite kwa namna hiyo? Umenikatisha tamaa sana
 
Unapokuwa too subservient and submissive namna hii unakosea. be real, be yourself, Mbona hawakubend this much low?

Yaani na akilili zako zote tunazokujua leo una diriki kumuona Bashite kwa namna hiyo? Umenikatisha tamaa sana
Kwanza pole, pili
Asante nitauzingatia ushauri wako, maneno engine na mimi lazima nitafute kamusi, yaani "Pasco wa jf amekuwa too subservient and submissive kwa kubend this much low!", kisa ni bandiko hili Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
P.
 
Back
Top Bottom