Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,570
Yes, tena sio tuu ninasema, bali,unasema?/
Nilisema,
Nikasema,
Ninasema
Nitaendelea kusema
Nitasema.
P
Yes, tena sio tuu ninasema, bali,unasema?/
utamwambia nani sasa??Yes, tena sio tuu ninasema, bali,
Nilisema,
Nikasema,
Ninasema
Nitaendelea kusema
Nitasema.
P
Hata baada ya kuzuiliwa kuingia Marekani, Kijana bado ni vile vile, na hili zuio la kuingia Marekani ni upepo tuu na utapita.Nitangulize kwa kusema kuna baadhi ya mambo ayafanyayo Paulo Makonda nakubaliana nayo. Baadhi ni vita dhidi ya mihadarati na kusaidia vijana wasiojiweza na baadhi ya maamuzi ya kuwasaidia wenye umasikini.
Huko nyuma kuna thread iliyoletwa na mwanahabari na Broadcaster Nguli Ndugu yangu Paskali Mayalla kuhusu huyu msukuma mwenzake Paulo Makonda.
Kwa sasa ni miaka minne imepita na ameshaleta vituko vingi zaidi katika serikali ya msukuma mwenzake Pombe.
Swali kwako Mayalla, je Makonda bado ni Presidential Material?
The beginning of the ENDHata baada ya kuzuiliwa kuingia Marekani, Kijana bado ni vile vile, na hili zuio la kuingia Marekani ni upepo tuu na utapita.
P
Kwa vile mnaongea lugha moja ni vigumu tupate ukweli wako.Mkuu Mbase, with due respect, Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas.
Mtu kuwa presidential material ni possession of presidential virtues, ukiisha kuwa, you are!.
Hivyo bandiko hili
bado liko validBaada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
P
Unajua mimi kutoa mapenzi yako kwa Makonda sitaweza. Ila tatizo ulilonalo ni kwamba hupendi jina lako lionekane unampinga japo nina uhakika unachokiandika hukiamini. Binafsi sikulaumu maana Dodoma hatukwenda wote na sijui uliambiwa nini maana tangu urudi hujasema chochote.Hata baada ya kuzuiliwa kuingia Marekani, Kijana bado ni vile vile, na hili zuio la kuingia Marekani ni upepo tuu na utapita.
P
Amen. Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!Unajua mimi kutoa mapenzi yako kwa Makonda sitaweza. Ila tatizo ulilonalo ni kwamba hupendi jina lako lionekane unampinga japo nina uhakika unachokiandika hukiamini. Binafsi sikulaumu maana Dodoma hatukwenda wote na sijui uliambiwa nini maana tangu urudi hujasema chochote.
Kuna kitu kinanisukuma nikuite "Coward" lakini nafsi inanizuia kwa mazingira ya sasa ya Tanzania ni bora kuwa COWARD ni KUSIFU brigade kuliko kuwa JASIRI uishie kama Gwanda ama ukiwa na bahati uishie kama KABENDERA. Mungu akusaidie fahamu zako zirudi huko mbele ya safari ili uitendee haki Tasnia yako ya Uandishi na Uanasheria
wewe Pascal Mayalla naomba unijibu swali langu naona unaishia kugonga like tu huku haujibu swali langu.Amen.
PElections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
Wanabodi, Dr. John Pombe Joseph Magufuli ndiye mshindi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025 and may be more!, anayesubiri tuu kutangazwa rasmi na kuapishwa. Nimesema 2015 -2025 sio kwa bahati mbaya as if hakuna uchaguzi 2020, no!, nimesema 2015-2025 kwa sababu huu ndio ukweli...www.jamiiforums.com
Mkuu naomba kufahamishwa kwa nia njema tu,Unaweza usiamini hata kujua huyu First Lady Eleanor Roosevelt, simjui!, kumbe na yeye ulimuuliza swali kama hili akajibu hoja yako, tusaidie kutufahamisha ulimuuliza nini akajibuje ili na akina sisi tuanze kujibu kama First Lady Eleanor Roosevelt.
Possession ni kitu mtu anacho acquire, akiisha kuwa nacho anacho.
P
nimemuuliza swali, kagonga like ila hajajibu swali. napata mashaka juu ya huyu mwandishiPascal ni kama majority ya viongozi wa serikali unafiki na kujipendekeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
akikujibu swali lako naomba uni-tag ili nije anijibu na mimi swali languMkuu naomba kufahamishwa kwa nia njema tu,
Sifa kuu ya kiongozo Bora ni ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Braza Paschal tangu ametoka dodoma kila nikisoma nyuzi au comment zake lazma nitende dhambi ya kutukana matusi kimoyo moyo kuepusha hili najitahidi kutokumfuatilia sana kwa sasa. The dude is patheticUnajua mimi kutoa mapenzi yako kwa Makonda sitaweza. Ila tatizo ulilonalo ni kwamba hupendi jina lako lionekane unampinga japo nina uhakika unachokiandika hukiamini. Binafsi sikulaumu maana Dodoma hatukwenda wote na sijui uliambiwa nini maana tangu urudi hujasema chochote.
Kuna kitu kinanisukuma nikuite "Coward" lakini nafsi inanizuia kwa mazingira ya sasa ya Tanzania ni bora kuwa COWARD ni KUSIFU brigade kuliko kuwa JASIRI uishie kama Gwanda ama ukiwa na bahati uishie kama KABENDERA. Mungu akusaidie fahamu zako zirudi huko mbele ya safari ili uitendee haki Tasnia yako ya Uandishi na Uanasheria