Mayala: Samia Kaachie Kidogo kale Kasimba ka Kizimkazi

Mayala: Samia Kaachie Kidogo kale Kasimba ka Kizimkazi

Sio kasimba kadogo yule ni Simba mkubwa mwenye nguvu na ndio maana alivyokua aki unguruma ccm wote walikua wana poteana hovyo, nikueleze tuu bwana chawa pro max "njaa kali malaya" yule bibi yenu wa kizimkazi hawezi kumshinda hata boni yai kwenye sanduku la kura
 
Utampenda Mayala mwandishi wa habari na mwana CCM asiye mnafiki.
huyu jamaa huwa anaconfidence kubwa mnoo nakumbuka sku 1 alimuoji magufuli umetoa wap mamlaka ya kufanya hivi ni kifungu gani cha katiba umetumia??.......jambo linalonitatizaga siku zote ni kuwa hivi huyu jamaa ndo Pascal Mayalla wa humu au ni watu wa2 tofauti????
 
Nilimsema juzi kaka mkubwa Pascal Mayalla na akanijibu (naomba ku declear conflict of interest kwake, nimekua shabiki wake over 30 years now, Television wakati zinaanza anza bongo nilimfahamu vema huyu bro akiwa pale CTN na DTV/sasa Chanel 10 then baadae ITV )kwamba Pascal mshika kalamu or keyboard ya computer na Pascal aliye nyuma ya microphone hua ni 2 tofauti. Pascal wa kalamu ni mwoga mwoga, Pascal wa nyuma ya microphone ni bonge la mzalendo na mtu mwenye ujasiri. Refer sakata lake la "Mayalla kikwetu ni njaa"
 
Lisu alishindwa kuelewa mazingira ya kiroho kitendo cha kukubali kuitwa simba wa kufugwa,ndio huko kumemfanya awe mfungwa na kuhangaika ndani kwa ndani gerezani.Nimesema kiroho kama huelewi tutakiane heri.Lisu alipaswa kuitwa jina la Simba angalau serengeti au Ngorongoro yaani mwenye uhuru wake.Majina yanaumba
 
Back
Top Bottom