Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 4,465
- 4,613
Sasa angefanyaje wakati alishalogwaLisu alishindwa kuelewa mazingira ya kiroho kitendo cha kukubali kuitwa simba wa kufugwa,ndio huko kumemfanya awe mfungwa na kuhangaika ndani kwa ndani gerezani.Nimesema kiroho kama huelewi tutakiane heri.Lisu alipaswa kuitwa jina la Simba angalau serengeti au Ngorongoro yaani mwenye uhuru wake.Majina yanaumba