May be Dkt Samia is Frastated.

Kwa namna moja au nyingine MAMA ANAJITAHIDI KUONGOZA NCHI dhidi ya changamoto nyingi zinazomkabili.

UBARA DHIDI YA UZANZIBARI
MFUMO DUME NA IMANI YA JAMII YETU.
UTEKELEZAJI WA WAJIBU NA UTOAJI HAKI N.K

tatizo lipo kwa anaowapa nafasi ya kumsaidia, muda mwingine wanafiti muda mwingine wapo nje ya mfumo.

They are not flexible.

 
HILI NALO MKALITAZAME.

Nawaagiza akina Kasimu na Kamanda Siro muende mkalitazame hili kwa makini tuone "tunakwenda vipi".

Tumeanza kusikia "vijikelele kelele" vya watu kutaka kunipora urais wangu, nawaagiza mwende mkanipiganie mama yenu.

Suala JENGINE nasikia huko mitandaoni, ooh mama kauza bandari, mama kauza bahari, mama kafanya vile mama kafanya hivi, HAYO YOTE MKAYATAZAME.

MKINIKUNA NITAWAKUNA.

Cc: NAMBA MOJA AJAYE NCHINI DR Mambo Jambo Dr. gwajima D MIN -meRabbon Nyani Ngabu min -me
 
Waoo! one on the smartest ladies we have in JF.

Umefikiri na kuandika vyema mama
 
Sukuma gang wanajipanga


 
Sukuma gang wanajipanga


 
Mitano ya Magu,

Mitano ya sa100.

Kisha kumi ya ajaye. Asojua hesabu za kisiasa atahangaika sana.

Kiukweli,

HATOGOMBEA!!
 
angejua angestaafu mwakani kuliko kukaza nia wakati watu hawamkubali atakuja kupatwa na mshangao mataqajio yakiwa sio wanaomsifia wanamdanganya.
 
Kina manyuzi mmeshaanza kumpanikisha maza wa watu
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…