Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,730
- 2,392
Usiseme hivyo mkuu, wengine tumetumia Samsung kusoma madongo yako hatukuangalii vizuri sana... Samsung Oyee!
hahahhaaa, pole mkuu!
Usiseme hivyo mkuu, wengine tumetumia Samsung kusoma madongo yako hatukuangalii vizuri sana... Samsung Oyee!
Wabongo huwa wanajazana ujinga. Tecno si tu kuwa ni inferior bali pia ni mbaya kwa afya
Wala usijali mkuu kimpe hii siyo hapa tu hapo zamani za miaka ya 80 magari ya kijapani yalipigwa vita sana kwenye matangazo ya biashara huko Marekani mimi niliona matangazo ya wazi kabisa yanasema don't buy Japannese.,lakini miaka ilivyozidi kwenda pumba zilijulikana ni zipi na ngano ni ipi magari ya kijapani soko lake lilikua kiasi cha baadhi ya viwanda vya magari ya kimarekani kufunga matawi yao na kuuzwa kwa makampuni ya nje.
Tecno simu zao ziliingia hapa nchini watu wakadhani ni michina ile iliyokuwepo wakati rule lakini mda ulivyozidi kwenda ziliendelea kuzoeleka sasa hivi tunapoyaongea haya simu za tecno zimekamata asilimia kubwa katika soko la simu kuna baadhi ya brand kama Siemens,motorola n.k zimepotezwa kabisa na myama Tecno, Samsung wajiandae kunyolewa kiwembe kikali kinakaribia.
Yani hio techno unakua unasikia raha kuitumia ukiwa alone ila ukiwa na washkaj afu wakakuuliza hio ni simu gani unatumia unaanza kujibu ooh hii techno afu usiione hivi ina speed kali, ram kubwa, camera ya kutosha yan lazima utoe maelezo ya kutosha wkt ukitoa Samsung au iPhone huna haja ya kujieleza, hahah
Ubora wa Tecno ni sawa sawa au hata zaidi ya Samsung, ila tatizo letu wabongo tunameza sana. Kamata Phantom Z ndio utajua what I mean here. Samsung ni very expensive for nothing.
Samsung ni world brand, tecno imetengenezwa kwa ajili ya watu wasiojiweza
Vipi kuhusu LG ?ni simu ya walala hoii
Bora nionekane napiga kelele, lakini habari ndio hiyo. For more details unaweza kugoogle.Mkuu ongea kwa hoja na ushahidi vinginevyo hizi ni kelele!! Weka specs za kila simu hapa.
Wabongo bhana, mtu kapanga, anapanda daladala kila siku, mlo mara mbili au moja, kijijini kwenu hata bati umeshindwa kuwanunulia wazee wako, chumba chenyewe ulichopanga hata marafiki kuwapeleka unaona aibu, leo hii unasema Tecno is inferior, too low, haina hadhi. Hizi tabia za kimaskini tuziache we kama unaona haikufai n wewe lakini usikashifu wengine wakati unaishi kwa kujionyesha tu.
Note: walengwa wanajijua sio wote.
Samsung ni world brand, tecno imetengenezwa kwa ajili ya watu wasiojiweza
Mkuu hii post yako imenifanya nicheke peke yangu kama chizi
Ulichosema kina ukweli asilimia kubwa sababu watu wameaminishwa tecno ni vimeo, sasa ili kuondoa hiyo dhana watumiaji wengi wa tecno ukiwauliza unatumia simu gani majibu huwa marefu kweli kujaribu kuonyesha ipo vizuri kuliko inavyo semwa
Usiendeshwe kihisia na watu wengine wote hatuwez kumiliki iphone au samsung hata kama ni matajiri.. Fanya kile kinachoufurahisha moyo wako sio mioyo ya wengine..